kuna mtu kachoma utambi hapo. sio rahisi ambulance kupigwa mkono juu king'ora na taa full hapo kuna kusalitiana/kudhuluniana mzigo/kutokuelewana kwenye malipo n.k
kweli kabisa mkuukuna mtu kachoma utambi hapo. sio rahisi ambulance kupigwa mkono juu king'ora na taa full hapo kuna kusalitiana/kudhuluniana mzigo/kutokuelewana kwenye malipo n.k
30 yrsAmbulance ya hospitali ya Wilaya ya Tarime ambayo imekamatwa na Inspekta Nathaniel pamoja na timu yake usiku huu huko Bunda ikiwa imebeba Magunia ya Mirungi kama inavyoonekana wengine ni watuhumiwa akiwemo dereva wa gari hilo.
Bangi mbaya sana!!mbona hii kesi rahisi sana kushinda hapa mkemia mkuu ndo kila kitu ukimpata unampa kama m4 hivi anasema ilikuwa ni mboga za majani kesi ndo mwisho wake
Hiyo taarifa ni nusu na wala hakuna cha utambi. Iko hivi, dereva alipigiwa simu usiku apeleke mgonjwa Bugando akadai yupo mbali na gari halna mafuta ikabidi mgonjwa asafirishwe kwa gari la polisi. Wakiwa njiani wakaona hiyo Ambulance ambayo ilidaiwa haina mafuta inapiga misele ndipo polisi wakaipiga mkono ndo kubaini ilikuwa kwenye dili.kuna mtu kachoma utambi hapo. sio rahisi ambulance kupigwa mkono juu king'ora na taa full hapo kuna kusalitiana/kudhuluniana mzigo/kutokuelewana kwenye malipo n.k
sante kwa ufafanuziHiyo taarifa ni nusu na wala hakuna cha utambi. Iko hivi, dereva alipigiwa simu usiku apeleke mgonjwa Bugando akadai yupo mbali na gari halna mafuta ikabidi mgonjwa asafirishwe kwa gari la polisi. Wakiwa njiani wakaona hiyo Ambulance ambayo ilidaiwa haina mafuta inapiga misele ndipo polisi wakaipiga mkono ndo kubaini ilikuwa kwenye dili.
Hiyo taarifa ni nusu na wala hakuna cha utambi. Iko hivi, dereva alipigiwa simu usiku apeleke mgonjwa Bugando akadai yupo mbali na gari halna mafuta ikabidi mgonjwa asafirishwe kwa gari la polisi. Wakiwa njiani wakaona hiyo Ambulance ambayo ilidaiwa haina mafuta inapiga misele ndipo polisi wakaipiga mkono ndo kubaini ilikuwa kwenye dili.
Hii nchi kila kitu cha mkubwa tu kwann hasa mabaya mazur ya masikiniHahaha pole yake.
Hizi dili za wakubwa, na zinapokamatwa msala huachiwa dereva.
Hapo in kusubir uchunguz kuliko kuhukumu T.O au DMO wala katibu huenda nao wameshushwa na hiliHawa Watumishi waliopakia magunia ya bangi kwa kweli hawathamini kazi zao. Usiku huo nani alitoa idhini ya gari kutoka kwenye yadi ya Serikali. Hii ni dalili ya vyuma kukaza?.
Hajachomewa, taarifa haijakamilika. Pitia MWANANCHI kwa taarifa kamili.Kachomewa mtu hapo