Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,047
Ambulance ya hospitali ya Wilaya ya Tarime ambayo imekamatwa na Inspekta Nathaniel pamoja na timu yake usiku huu huko Bunda ikiwa imebeba Magunia ya Mirungi kama inavyoonekana wengine ni watuhumiwa akiwemo dereva wa gari hilo.
Picha tu tosha, inaonekana watuhumiwa wote ni wavutaji mmea haramu. Tarime kweli kuna kazi kuishi kule.....Dar nako hakukaliki kutokana na kuzungukwa na wanaume tata. Ngoja nikaombe ombe Dodoma kama ndugu zangu Wagogo.