No loose end. Unakufa mwenyeweHahaha pole yake.
Hizi dili za wakubwa, na zinapokamatwa msala huachiwa dereva.
inategemea nani kakiripua kama kuna mkono wa mkulu usitegemee mkemia mkuu kupindisha ukweliKwa mkemia mkuu akipewa hongo anasema 'zilikuwa ni mbegu za matembele' kesi kwisha inabaki kesi nyngne tu ya kutumia vbaya mali ya umma
Hisia zako na ziheshimiwe maana utawala huu full dramaAfu siro yupo huko huko Mara ila isiwe tu sinema
Mkurya akipata degedege tiba yao ni bangi na mirungi inachanganywa.Ambulance ya hospitali ya Wilaya ya Tarime ambayo imekamatwa na Insp Nathaniel na timu yake usiku huu huko Bunda ikiwa imebeba Magunia ya Mirungi kama inavyoonekana wengine ni watuhumiwa akiwemo dereva wa gari hilo.
View attachment 807138
View attachment 807140
View attachment 807141
View attachment 807143
View attachment 807144
angepiga hadi shangazi ya derevaSipati picha huo mzigo ungelikamatwa Dodoma,Muroto angelikuja na kauli mpya