Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
juzi nilikuwa naenda mwanza na precision kwa bahati tukatua musoma kabla ya kufika mwanza, nilishangazwa na hali ya uwanja lakini cha kustaajabisha zaidi ni pale nilipoona ndani ya uwanja hamna lami kuna udongo na pembeni ya uwanja kuna barabara ina lami. Nilijiuliza maswali mengi sana juu ya decision makers wetu nikakosa majibu.
hawa watawala wetu wanamatatizo gani wanashindwa kuweka lami kwenye uwanja wanaweka kwenye barabara
hawa watawala wetu wanamatatizo gani wanashindwa kuweka lami kwenye uwanja wanaweka kwenye barabara