nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
kwani anayahitaji yote, ama kwa kiasi anachotaka.maana USA ili aendelee ni lazima usambazaji mafuta uwe stable dunia yote, kwahiyo hayo mengine ni lazima yaendelee kutufikia hata na sisi, ili aweze kuuza ford zake, ama machines zake mbalimbali....I agree with u to some extent but USA haisambaratishi middle east yote may be those weaker....because gulf countries are the richest arab countries and they produce lot of oil and USA had never touched them... and he can not because they are United...
Anaukaribu sana na Saudi Arabia, huyu ni mmmoja wa wazalisha mafuta wakubwa, anaukaribu na Kuwait, huyu ni mzalisha mafuta Mkubwa mwingine, sasa aliekuwa anamwinda muda mrefu ni IRAQ, akamsambaratisha, anakunywa damu zao kwa gharama ya mafuta ghafi....Simuungi mkono, ila mwelekeo na habari yenyewe ndio iko hivyo.
akipata anachokitaka, anaenda kwa wengine na wengine, kwake maslahi ya taifa ni bora mara mia , kuliko uhai wa Waarabu....nasema Waarabu si Waislamu, maana si kila Mwaarabu ni Muislamu.