Muslims issue Fatwa against body scans in the airport

labda waonakataa scanning hizo, wawe maulamaa wakiislamu ama laah, walete njia mbadala za kukabiriana na wimbi la ugaidi na uhalifu wa kujitoa muhanga, walete Ushauri duniani kuwa mtu akificha baruti za mlipuko njia gani inaweza kumuumbua, ili kuifanya dunia mahala salama zaidi pa kuishi. kama hutaki scanning hizo basi lala nnchini mwako.wala usitoke.
Njia ya kuzuia ni moja tu ... stop killing muslims so muslims will stop killing them Americans... muslims will never stop going to AMerican if the americans are still in muslim countries ... tit for tat.
 
Njia ya kuzuia ni moja tu ... stop killing muslims so muslims will stop killing them Americans... muslims will never stop going to AMerican if the americans are still in muslim countries ... tit for tat.

Nakutakia kila kheri katika mission yako ya kupambana na wamarekani!!!.

Tiba
 
Unakosea hapa - hizi body scanners zimevuka mpaka. I think these images are good enough for an everage pedophile.

¬K


Bwana KULI hivi ukienda kusafiri na ndege pale kiwanjani ukaambiwa kuna mtu amekataa kupitia kwenye scanner kukaguliwa utaipanda ile ndege? Swala la usalama halipaswi kufanyiwa mzaa wa mambo ya dini au haki za binadamu. Watu kama kina Al Queda ,n.k wanaitumia dini vibaya. Maisha ya binadamu sio ya kuchezea na kucheka cheka eti dini na haki za binadamu. Kama mtu hataki akatafute njia yake mbadala ya kufika huko anakoenda. Wengi wetu tuko tayari kupitia kwenye scanner na wengi wape.
 
Njia ya kuzuia ni moja tu ... stop killing muslims so muslims will stop killing them Americans... muslims will never stop going to AMerican if the americans are still in muslim countries ... tit for tat.
kwani USA anaua Waislamu ? ama anaua Waarabu, nijuacho kina IRAN wanajaribu kuunganisha matatizo yao kidiplomasia na USA YAWE ya waislamu, na kwa kutofikiria kwa makini, wanaodhani vita ya USA ni vita dhidi ya uislamu, wamekosea, nivita dhidi ya Uchumi, Ustaarabu na Ubabe.
 
i think the logic thing is if you feel you don need body scanner just find alternative to your travel need, we can not compromise the safety of people boarding an aeroplane for some people who consider it not ok according to their religious values, we can not satisfy all people religious value the need for body scan is for checking if somebody has some dangerous material surely no one is interested in just looking on bodies of people, imagine how many body he/she check per day, i think muslim should learn this is 21st century, medievel stuff are no longer part and parcel of our society! and it is for this reason the religion may start to loose appeal to most people as it does not reflect the real current situation in the society!
i would feel very unconfortable to know i have boarded a plane where people have not been scanned because i don want tyo die simply because someone has not gone through the scanner!
 
Hawataki kupita airport bila security wanapinga body scanners kwa sababu ya kujistiri. Body canners zinafunua kila kitu cha mwili.
Kuwambia watu wenye tatizo na body scanners to not fly does not make any sense.I think people have the right to hold their incompetent government accountable and make sure they walk a fine line between their religious freedom and security and between what make sense and what doesn't in terms of ailine security. The body scanners only make sense to some people for their own personal gain.
Kesho Abudlmutab II akiripua ndege wataamua uvue suruali kabla hujapanda ndege. Sikutegemi kama utaacha kusafiri.
As a matter of fact you are more likely to be stuck by lightning than die from a flight terrorist attack. Here
¬K

Mbona hospitali mnafunuliwa na kushikwashikwa na makafiri? mbona mnapigwa x ray, acha unafiki. Tupeni alternative ya kujifunga mabom miilini mwenu.
 
hey dont be such an air-head what do u know about Islam?
Are u up for a real talk? or u just wanna have small talks...

may be u should use common sense before u write such things. do u think those ppl are enjoying killing themselves? this ppl all they want is vengeance on who ever has hurt or killed their family .... and whatever American Government does it will not stop them, unless if they stop first.

Two wrongs cannot make it right my brother. Indiscriminate killing is unacceptable regardless of the reasons behind. Tanzanians and Kenyans who died in 1998 bombings in Nairobi and Dar es salaam had nothing to do with American killing of Muslims and their deaths did not stop America killing innocent people in Iraq and Afghanistan.
 
kwani USA anaua Waislamu ? ama anaua Waarabu, nijuacho kina IRAN wanajaribu kuunganisha matatizo yao kidiplomasia na USA YAWE ya waislamu, na kwa kutofikiria kwa makini, wanaodhani vita ya USA ni vita dhidi ya uislamu, wamekosea, nivita dhidi ya Uchumi, Ustaarabu na Ubabe.
Yes they are killing muslims... there is no war between Arabs and Americans... actually these arabs have very friendly relationship with USA. Talking about arabs there are Christians and jews arabs...

let me remind you buddy that IRAN is not an Arab country neither the afghanistanis are arabs...
 
jamani haya mambo noma kweli cjui mnaanza vp mi yananiboa.......
zishaurini dini zenu zijielekeze na kushindana kwenye mambo ya maendeleo ya jamii kama kuisaidia serikali kujenga shule bora,hospitali /zahanatina vituo vya afya,kuanzisha mabenki,kuelimisha jamii,,,,kama WAFANYAVYO WAKRISTO SIO HIZI SIASA za mambo ya mahakama ya kadhi na kupenda vya bure lakini vichungu kutoka oic....upuuuuuzi kupoteza muda kwenye mambo haya nnayoweza kuyaita ya kishenzi badala ya kuhakikisha dini yako inaisapport jamii badala ya kuombaomba oic..............ACHENI HIZO JAMANI TUJENGE NCHI AKINA JK WAMESHINDWA WAMEAMUA KUTUTOSA NA KWENDA KUJICHOTEA PHD(Pure Head Damage) UGHAIBUNI
 
Two wrongs cannot make it right my brother. Indiscriminate killing is unacceptable regardless of the reasons behind. Tanzanians and Kenyans who died in 1998 bombings in Nairobi and Dar es salaam had nothing to do with American killing of Muslims and their deaths did not stop America killing innocent people in Iraq and Afghanistan.
If two wrong can not make it right neither one can make it write dear

what was the bomb again? AAmerican embassies bombing well so it has defenetly had something to do with americans killing muslims...

I am not saying that Killing of innocent ppl is right... in war there is no such thing right or wrong... what I am trying to point here is, the first terrorist in this world is the USA government itself and they can not control terrorism they are only raising the rage. installing their stupid scanners wont stop those ppl, they will find other ways...
 
tuna kazi tusipobadilika na kuikubali meseji ya jile79 hapo juu.........
 
Yes they are killing muslims... there is no war between Arabs and Americans... actually these arabs have very friendly relationship with USA. Talking about arabs there are Christians and jews arabs...

let me remind you buddy that IRAN is not an Arab country neither the afghanistanis are arabs...
nielimishe ni lipi basi taifa la Kiarabu ?
WALIOWAHI KUPAMBANA NAE ni Iraq kama Taifa, na kundi la wahuni la TALEBAN kule Afghanistan, ni vita ya kiuchumi na Ustaarabu.
sasa kusema ni vita ya Waislamu huo ni ulongo, maana anaepigana hapigani kwa jina la uislamu, mbona walipotwangana kati ya Iran na Iraq hatukusiki kuwa Waislamu waingia vitani.....ni njaa ya mafuta na utajiri rahisi ndio utakaoendelea kuingiza USA vitani, dini ni blah blah tu, watu wanakunywa damu za waarabu ili kupata mafuta yao
 
Nakutakia kila kheri katika mission yako ya kupambana na wamarekani!!!.

Tiba
r u patronizing me or what? Mie sipambani namtu hapa ( I got beautiful life and americans are so paltry to waste my life because of them)

I totally condemn the american actions... it is so sad that most of innocent ppl suffers because of so called Americans, yet ppl commending them and instead the whole blame goes to Muslims...

wake up ppl open ur eyes...
 
its true they will find onother way but at least we make the work harder! not just killing us like that! scanner are vital and we badly need them, medieval principles are not appealing to 21st century socities!
 
nielimishe ni lipi basi taifa la Kiarabu ?
WALIOWAHI KUPAMBANA NAE ni Iraq kama Taifa, na kundi la wahuni la TALEBAN kule Afghanistan, ni vita ya kiuchumi na Ustaarabu.
sasa kusema ni vita ya Waislamu huo ni ulongo, maana anaepigana hapigani kwa jina la uislamu, mbona walipotwangana kati ya Iran na Iraq hatukusiki kuwa Waislamu waingia vitani.....ni njaa ya mafuta na utajiri rahisi ndio utakaoendelea kuingiza USA vitani, dini ni blah blah tu, watu wanakunywa damu za waarabu ili kupata mafuta yao

Brother I think you are close to get the point here read below quote of one of the member comments here

kwani kuna kitu gani hawa waislamu wamekubali moja kwa moja?wao wako against kilakitu.labda uwaambie wakajilipue waue watu watakubali haraka sana.

What does he know about Islam to bring such a comment?


I dont wanna create any contradiction here but this is how ppl thinks whenever something bad happens to America the blames goes to all the Muslims over the world not Arabs or talibans... and I was replying to his comment...
 
its true they will find onother way but at least we make the work harder! not just killing us like that! scanner are vital and we badly need them, medieval principles are not appealing to 21st century socities!
the more harder it gets the more effective its gonna be... dont ever underestimate human's brain:D
 
Brother I think you are close to get the point here read below quote of one of the member comments here



What does he know about Islam to bring such a comment?


I dont wanna create any contradiction here but this is how ppl thinks whenever something bad happens to America the blames goes to all the Muslims over the world not Arabs or talibans... and I was replying to his comment...
mnarudia rudia sana maneno hayo kuwa USA ni adui wa Waislamu duniani, hii imepelekea watu wote kuamini.
, kitu ambacho siamini, kuwa Sadam Husein na Iraq yake waliingia kwenye migogoro na USA kwasababu ya Uislam na UKRISTO WAO, kilichopo ni njaa ya kiuchumi, nakwambia USA bado ataendelea kuwasambaratisha Waarabu wa Mashariki ya kati , kwasababu ya kutokua wamoja, usaliti na Kiu ya USA Dhidi ya Mafuta yao.
 
Pope enters airport body scanners row

Mail & Guardian

Airport security chiefs may have thought they had enough to worry about with shoe bombers, underpants bombers and people who forget to put their toothpaste into those little plastic bags. But, if so, they were reckoning without Benedict XVI.

At a meeting in the Vatican at the weekend, the pope made an authoritative -- if entirely unexpected -- incursion into the raging debate over the planned use of airport body scanners. He told an audience from the aerospace industry that, notwithstanding the threat from terrorism, "the primary asset to be safeguarded and treasured is the person, in his or her integrity".

Respect for the principles he enunciated "might seem particularly complex and difficult in the present context", he told his audience, which included airport managers, airline executives, security workers, pilots, cabin and ground staff.

Respect for 'primacy of the person'
They had to contend with problems arising "from the economic crisis, which is bringing about problematic effects in the civil aviation sector, and the threat of international terrorism, which is targeting airports and aircraft". But, he warned: "It is essential never to lose sight of respect for the primacy of the person."

The pope's words will delight civil liberties campaigners opposed to a device that strips passengers virtually naked.

But those involved in airport security will no doubt point out that, when he himself travels -- on Alitalia -- the pope and his entourage are simply waved through security controls.

An exception was in 1984 when a permanently installed detection mechanism in Luxembourg alerted security officials to the fact that John Paul II and his aides were packing significant quantities of metal. It had been activated by their crosses. - guardian.co.uk © Guardian News and Media 2010
 
mnarudia rudia sana maneno hayo kuwa USA ni adui wa Waislamu duniani, hii imepelekea watu wote kuamini.
, kitu ambacho siamini, kuwa Sadam Husein na Iraq yake waliingia kwenye migogoro na USA kwasababu ya Uislam na UKRISTO WAO, kilichopo ni njaa ya kiuchumi, nakwambia USA bado ataendelea kuwasambaratisha Waarabu wa Mashariki ya kati , kwasababu ya kutokua wamoja, usaliti na Kiu ya USA Dhidi ya Mafuta yao.

I agree with u to some extent but USA haisambaratishi middle east yote may be those weaker....because gulf countries are the richest arab countries and they produce lot of oil and USA had never touched them... and he can not because they are United...
 
I agree with u to some extent but USA haisambaratishi middle east yote may be those weaker....because gulf countries are the richest arab countries and they produce lot of oil and USA had never touched them... and he can not because they are United...

No name, I believe you are a middle eastern, if you are not, your cooments stinks!! You need to study the world history and the change/shift of global politics and who/what do cause them. Any clever person will not associate it with religion. Politics whether in Islam, christianity, gentile, jewish or non religious state, exists to serve one master. And each time that master decides what kind of music to play, from cold war, to terrorism, and...who knows what will come after terrorism.
 
Back
Top Bottom