I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,727
- 10,023
Kwenye nyanja mbalimbali kenya wametuacha sana lakini nini tatizo kubwa linalofanya muziki wa Kenya usifanye poa kuliko wa Tanzania kwenye mziki wao?
Tz pamoja na kutumia zaidi Swahili katika nyimbo zetu tofauti na majirani Kenya wenye kutumia lugha zaidi ya moja; bado angalau katika soko la mziki barani Afrika huwezi kukosa bongo fleva itokayo Tz.
Ukienda kwenye trendin' nchini kenya kati ya wasanii 10 Bora 6-7 ni kutoka Tanzania.
Huku Tanzania kwenye trendin' ya angalau 10 bora unaweza kuta artist wa kwenya 1-2 au non kabisa😁 kutoka Kenya.
Ndugu zetu Wakenya tatizo nini tujuzane.
Tz pamoja na kutumia zaidi Swahili katika nyimbo zetu tofauti na majirani Kenya wenye kutumia lugha zaidi ya moja; bado angalau katika soko la mziki barani Afrika huwezi kukosa bongo fleva itokayo Tz.
Ukienda kwenye trendin' nchini kenya kati ya wasanii 10 Bora 6-7 ni kutoka Tanzania.
Huku Tanzania kwenye trendin' ya angalau 10 bora unaweza kuta artist wa kwenya 1-2 au non kabisa😁 kutoka Kenya.
Ndugu zetu Wakenya tatizo nini tujuzane.