Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,048
- 5,092
Useless, nahurumia sperm iliyoleta huyu mtu na tumbo lililobeba hii mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii habari ya mona ni ya lini? SijaisikiaMONALISA ALISEMA MUSIBA KAPANGIWA CHUMBA NA MZUNGU KWA AJILI YA ISSUE YA "MARINDA" UFUMUAJI SASA NAONA ANAFANYA PROJECTION !
Nimesikia mtu akisema yaliyosemwa ikabidi nishngae ndo nikasikiliza kidogo duh, ni aibu sanaKumbe Mkuu Britannica unapata muda kusikiliza crap?.
P
Hahahah aiseeEti kuonyesha kuwa na yeye ana watu wake(mtu wa intelijensia) anasema kuna watu toka Marekani/Ulaya wanamtumia video, wakati video zote zipo YouTube... This guy is pathetic. Kama hatumii madawa ya kulevya, au halipwi pesa nyingi sana.. then probably ni kichaa/mwendawazimu.
Naona Membe alifyata baada ya kujua ule msemo wa"ukimuona Mbwa juu ya mti ujue amepandishwa".Ile kesi yake na membe imeishia wapi?
Sent using Sukhoi Su-57
Wala sio aibu, kwa sababu ili iwe aibu, mtu mwenyewe anapaswa kuwa ni mzima, ukimsukiliza na kumwangalia, huyu jamaa ni kichaa kabisa, only haokoti makopo, kichwani ni debe tupu kabisa, hamna kitu kabisa.Nimesikia mtu akisema yaliyosemwa ikabidi nishngae ndo nikasikiliza kidogo duh, ni aibu sana
Ila amefeli njia anayotumia kuupaat umaarufu ni mbayaWala sio aibu, jamaa ni mzee wa makorokocho, na kuna watu wanayapenda hayo makorokocho.
P
Mkuu hii habari ya mona ni ya lini? Sijaisikia
kitambo kasema aliwekwa kinyumba masaki na beberu (mzungu)google andika MONALISA AMJIBU MUSIBA UTAONA ANAVYOCHANWA
Sent using Sukhoi Su-57
SubiriKitendo cha Musiba kuendelea kubwabwaja hayo yote na siku zote, bila kuchukuliwa hatua na Jamhuri, maana yake ametumwa. sasa ukimwangalia Musiba alivyo, utajua kwamba hao waliomtuma ni watu wa aina gani. yaani Musiba kwao ndio Jiniasi. Sasa kama Musiba ndio kipanga wao, hao jamaa wakoje? Na hao ndio wako madarakani. na ni pamoja na huyo Rais unayempenda.
Hv hawa jamaa wanavyopenda sifa,wangeliacha hili jambo kweli liwapake tope?Yaani huyu mbwa anabishana na mahesabu ya C.A.G kweli? Eti hakuna hela yoyote iliyoliwa na serikali