Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,844
- 3,129
Musiba ni nani ndani ya Chama/Serikali. Isije kuwa wanaomkumbatia kumbe kimikakati yupo kinyume nao. Nawaza tu.
Wakishaondolewa madarakani hao watawala wa Afrika kwa nguvu ya Facebook,watawala wajao watakuwa Wazungu au wa-Afrika hao hao. Kama ni Waafrika wengine basi hoja haina maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakishaondolewa madarakani hao watawala wa Afrika kwa nguvu ya Facebook,watawala wajao watakuwa Wazungu au wa-Afrika hao hao. Kama ni Waafrika wengine basi hoja haina maana.
Sent using Jamii Forums mobile app