#COVID19 Museveni Yoweri Kaguta: Wanasayansi wa Uganda wako Maabara kufanya utafiti wa kutengeneza chanjo ya CORONA

Corticopontine

JF-Expert Member
Sep 20, 2019
664
1,272
Wanasayansi wa Uganda wafanya utafiti wa kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema wanasayansi nchini humo wanajitahidi kufanya utafiti utakaosaidia kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona.

Rais Museveni amesema, wanasayansi kutoka Taasisi ya Utafiti wa Virusi ya Uganda iliyoko mjini Entebbe wanafanya utafiti juu ya virusi hivyo ili kutengeneza chanjo.

Amewashukuru madaktari kwa kufanya juhudi katika kuwatibu wagonjwa 55 walioambukizwa virusi vya Corona nchini humo.

Ameongeza kuwa watu 28 kati yao wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitali, na mpaka sasa hakuna kifo kilichotokana na virusi hivyo nchini humo.
 
Jana niliona hii tweet ya Mu7
tapatalk_1587327153103.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui Tz wanafanya nn maana hatusikii madaktari kama wanafanya tafiti
Wanasayansi wa Uganda wafanya utafiti wa kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema wanasayansi nchini humo wanajitahidi kufanya utafiti utakaosaidia kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona.
Rais Museveni amesema, wanasayansi kutoka Taasisi ya Utafiti wa Virusi ya Uganda iliyoko mjini Entebbe wanafanya utafiti juu ya virusi hivyo ili kutengeneza chanjo. Amewashukuru madaktari kwa kufanya juhudi katika kuwatibu wagonjwa 55 walioambukizwa virusi vya Corona nchini humo. Ameongeza kuwa watu 28 kati yao wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitali, na mpaka sasa hakuna kifo kilichotokana na virusi hivyo nchini humo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: rr3
Itakuwa chanjo ya mitishamba hiyo!
No kuna Institute of virus research--UVRI. Lakini haina the required expertise and infrastructure to sustain high level virology research. Basics wanafanya sana tena vizuri. I have been there I know the place! They have international collaboration with world-class labs!



Uganda Virus Research Institute
Uganda Virus Research Institute

UVRI_COVID_PIC_4.jpg

One (1) new case of COVID-19 has been confirmed at Uganda Virus Research Institute on the 19th April 2020.

According to the Ministry of Health, the new case is a 27-year-old Kenyan truck driver who arrived at Malaba border and was among 1,114 truck drivers tested today

Efforts are underway to track him and evacuate him back to Kenya.

The Minister of Health Dr Ruth Aceng says a total of 350 samples from the community were tested for COVID-19 and all were Negative.

The total number of confirmed cases of COVID-19 still remain 55.

Earlier today, 6 patients were discharged from Mulago National Specialised Hospital after testing NEGATIVE twice for COVID-19. The Total number of COVID-19 recoveries in Uganda now stand at 28.

One (1) new case of COVID-19 h
 
Huyu ndiye rais alishutuka mapema, wengine wanasubiri neema ya Mungu kama mvua, kunusuru nchi yao.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom