Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
Cha msingi itibu karona. Hata kama yakiwa maviItakuwa chanjo ya mitishamba hiyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha msingi itibu karona. Hata kama yakiwa maviItakuwa chanjo ya mitishamba hiyo!
Safi sana.No kuna Institute of virus research--UVRI. Lakini haina the required expertise and infrastructure to sustain high level virology research. Basics wanafanya sana tena vizuri. I have been there I know the place! They have international collaboration with world-class labs!
Uganda Virus Research Institute
REPUBLIC OF UGANDA
Search form
Search
ONE (1) NEW CASE OF COVID-19 HAS BEEN CONFIRMED TODAY AT UVRI.
One (1) new case of COVID-19 h
Dah!... hii comment inawafikie kina Fulani...
Dereva anatoka Dar, anasafiri zaidi ya siku 2, mpaka anafika mpakani, hamjui tu kama ameambukizwa, huo nadhani ni uzembe wa hali ya juu. Huwezi kuwalaumu Waganda. Ni vema wakaendelea hivyo hivyo ili kujilinda na kuzifanya jitihada zao zizae matunda. Sisi tunaoona kuwa ni tatizo dogo, tuendelee kuishi na hivi virusi.Hiyo Raisi Mpumbavu na Adui, badala ya kumtibu Dereva wa gari kutoka Tanzania, ameamua kumrudisha Tanzania. Undugu na ujirani gani huu,
Nasi tutakuwa fanya hivyo siku yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
sisi tunayo hii lab?No kuna Institute of virus research--UVRI. Lakini haina the required expertise and infrastructure to sustain high level virology research. Basics wanafanya sana tena vizuri. I have been there I know the place! They have international collaboration with world-class labs!
Uganda Virus Research Institute
REPUBLIC OF UGANDA
Search form
Search
ONE (1) NEW CASE OF COVID-19 HAS BEEN CONFIRMED TODAY AT UVRI.
One (1) new case of COVID-19 h
Mkubwa hujaona madaktari wamekuwa wana mitindo, wamekuja na vazi la bei chee 30,000 la kujikinga na CORONA...lipo TBS wanaliangalia.Sijui Tz wanafanya nn maana hatusikii madaktari kama wanafanya tafiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa chanjo ya mitishamba hiyo!
Hapana!