Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,919
- 7,469
Museven is a real Man.
Mwanamme kazi zote atafanya sio kuosha vyombo na kukuna nazi.Iko hivi kwa mila za kiafrica kazi ya upishi kimsingi ni ya mke ,lakini hii haimaanishi mume asiingie jikoni mwaka ,kama huna kazi mko nyumbani wawili basi msaidie kuchambua mchele ,kuosha vyombo ,na chochote ,aidha ikitokea ameshinda kwenye vikoba sio mbaya ukapika ,yaani sio kazi ya kike ni kitu kwa mila na mapenzi tulimpa mwanamke heshima ya kumiliki jiko,Jamani ndo maana hatuendelei
Africa haitoendelea kirahisi rahisiMwanamme kazi zote atafanya sio kuosha vyombo na kukuna nazi.
Wanadai mseveni kashawahi kumgongaMuseveni yuko sawa kabisa.
This mama kavamia upepo unakovuma, anataka umbebe tu.