hadi Lesotho katuchapa, Tanzania tunachoweza ni ngono zembe tuu
KOROSHOOOOO!kwahyo huko AFCON nako tutakuwa tunaomba kubebwa mambo yakienda vibaya? mpira umetushinda bora tukacheze rede, karata, draft na michezo mingine laini laini.
Hiyo sio ndondo mkuu!!! Tena hiyo mechi itafuatiliwa sana!! Ikibainika tu kuwa kuna njama za kupanga matokeo, adhabu yake sio mchezo!! Huko ni uwezo wako tu na kwa timu hii kuifunga uganda mmmm!!!!Yeye si ameshafuzu!
Bila ya hivyo AFCON tutabaki kuangalia kwenye Luninga
Jana amekusaidia,akusaidie nn tena? Upuuzi tuYeye si ameshafuzu!
Bila ya hivyo AFCON tutabaki kuangalia kwenye Luninga
Tumtume jpm aende wakaongee Na Mu7 ili Waganda watuachie kama sie tulivyowaachia ARDHI yetu kupitisha bomba la mawese
Tumtume jpm aende wakaongee Na Mu7 ili Waganda watuachie kama sie tulivyowaachia ARDHI yetu kupitisha bomba la mawese
Tumekua zigo la misumariYeye si ameshafuzu!
Bila ya hivyo AFCON tutabaki kuangalia kwenye Luninga