Museveni naye aanza kunyoosha Waganda, amtia ndani Bobi Wine baada ya uteuzi. Afrika na EAC patamu

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,756
48,401
Mara baada ya Bobi Wine kuteuliwa kuwania urais na kupokezwa cheti, ameibukiwa na mapolisi na kuswekwa ndani tena kwa matumizi ya nguvu nyingi na vurugu zisizo za kawaida, ukanda huu wa EAC lazima mtanyooka, ni mwendo wa kidikteta kwa kwenda mbele, kumekuchaaa.

Naomba Mungu asiruhusu kashetani fulani kamnong'oneze rais wetu hapa Kenya bwana Uhuru Kenyatta kwamba athubutu huo ujinga unaofanywa na haya mataifa majirani, maana kwetu kinaweza kikanuka hadi basi.

Dah! jameni vijana wa leo mtushukuru sana sisi tuliopambana enzi zile hadi katiba ikaandikwa upya, maana mnayoyashuhudia kwa hawa majirani yalikua kitu cha kawaida kwetu miaka hiyo, ilifika tukasema sasa basi, tukajitokeza barabarani, mapolisi hawana hamu na kilichowakuta maana walishindwa wataua wangapi na kusaza wangapi, nyomi ya maelfu ya watu wanakuibukia huku wakiimba nyimbo za ukombozi, unawafyatulia mabomu na risasi ila unakua kama ndio unawapandisha mzuka.

Nakumbuka enzi hizo ilikua ushujaa kuloa damu, unatafuta upigwe na polisi ilimradi uonekane unaloa damu mwilini. Watu walikua wanatamani makovu au kutiwa ndani, chochote cha kuonyesha umelipa gharama.

========

Uganda police arrest Bobi Wine after presidential nomination​


KAMPALA, Uganda — Ugandan police on Tuesday again arrested Bobi Wine, a popular singer and opposition presidential hopeful, just after he was successfully certified as a candidate in next year’s election.

Wine, who is bidding to unseat Uganda’s long-time leader, was dragged from his car by police. The local NBS Television, reporting from the scene, said the singer, whose real name is Kyagulanyi Ssentamu, was put into a police van amid violent scuffles between police and his supporters.

A police spokesman did not immediately respond to questions. Authorities frequently accuse Wine of planning rallies that could disrupt public order, which he denies.

Critics say President Yoweri Museveni, in power since 1986, increasingly depends on the armed forces to assert his authority.

Museveni, who was nominated as a candidate on Monday, said afterward that his government would not tolerate the activities of enemies he did not name who are allegedly plotting chaos.

 
Ukiona cha mwenzio kmenyolewa, tia chako(Kenya) maji...The powers to be will not allow Africans to Change with time, they want us to remain primitive, silent and poor so that they continue shafting us for generations.
 
Maybe we should underpaid politicians and overpaid teachers, then they would be smarter people and less stupid laws...
 
Yaani ukanda huu wote wa Afrika Mashariki na ya Kati ni jamvi la madikteta. Hongera ziwafikie PM Abiy Hassan wa Ethiopia na Rais Uhuru Kenyatta kwa uthubutu wao wa kuonesha nia ya kutumia akili zinazoifaa karne hii. Wengine waliosalia kutoka Rw, Ug, Tz, Somalia, Eritrea, Djibouti, S.Sudan na wale ambao bado hawajaeleweka sana kama DRC na Br ni miungu watu. Malaika watakatifu waliotumwa na Mungu kuitawala dunia kwa niaba yake.
 
Mara baada ya Bobi Wine kuteuliwa kuwania urais na kupokezwa cheti, ameibukiwa na mapolisi na kuswekwa ndani tena kwa matumizi ya nguvu nyingi na vurugu zisizo za kawaida, ukanda huu wa EAC lazima mtanyooka, ni mwendo wa kidikteta kwa kwenda mbele, kumekuchaaa.

Naomba Mungu asiruhusu kashetani fulani kamnong'oneze rais wetu hapa Kenya bwana Uhuru Kenyatta kwamba athubutu huo ujinga unaofanywa na haya mataifa majirani, maana kwetu kinaweza kikanuka hadi basi.

Dah! jameni vijana wa leo mtushukuru sana sisi tuliopambana enzi zile hadi katiba ikaandikwa upya, maana mnayoyashuhudia kwa hawa majirani yalikua kitu cha kawaida kwetu miaka hiyo, ilifika tukasema sasa basi, tukajitokeza barabarani, mapolisi hawana hamu na kilichowakuta maana walishindwa wataua wangapi na kusaza wangapi, nyomi ya maelfu ya watu wanakuibukia huku wakiimba nyimbo za ukombozi, unawafyatulia mabomu na risasi ila unakua kama ndio unawapandisha mzuka.

Nakumbuka enzi hizo ilikua ushujaa kuloa damu, unatafuta upigwe na polisi ilimradi uonekane unaloa damu mwilini. Watu walikua wanatamani makovu au kutiwa ndani, chochote cha kuonyesha umelipa gharama.

========

Uganda police arrest Bobi Wine after presidential nomination​


KAMPALA, Uganda — Ugandan police on Tuesday again arrested Bobi Wine, a popular singer and opposition presidential hopeful, just after he was successfully certified as a candidate in next year’s election.

Wine, who is bidding to unseat Uganda’s long-time leader, was dragged from his car by police. The local NBS Television, reporting from the scene, said the singer, whose real name is Kyagulanyi Ssentamu, was put into a police van amid violent scuffles between police and his supporters.

A police spokesman did not immediately respond to questions. Authorities frequently accuse Wine of planning rallies that could disrupt public order, which he denies.

Critics say President Yoweri Museveni, in power since 1986, increasingly depends on the armed forces to assert his authority.

Museveni, who was nominated as a candidate on Monday, said afterward that his government would not tolerate the activities of enemies he did not name who are allegedly plotting chaos.

Tunasubiri tamko rasmi la EU juu ya election fraud na violence inayoendelea huko Marekani, Donald Trump anakataa matokeo kwa sababu ya wizi wa kurs:)
 
Back
Top Bottom