Museveni: Kuishi kwingi ni kuona mengi yapo mengi ya kujifunza

You Idiot, stop fooling yourself and fellow stupid citizens. Sina tabia ya matusi na ukali napochangia hoja lakini members mtanisamehe hapa. Hivi inawezekana vipi rate ya maambukizi ikaanza kupungua wakati parent source ya uzalishaji virusi haijaanza hata kushughulikiwa hata kidogo?. Mimi ninavyojua kama unatakakupambana na tatizo lolote unatakiwa kufuata process zifuatazo:- 1. Identify the problem 2. Identify the root cause 3.Design measures to up root the problem by elimination of root cause completely to avoid non- re occurence. 4. Then rekebisha madhara yaliyosababishwa na tatizo hilo kabla ya kugundulika na kushjghulikiwa. Sasa wewe Idiot (ISEMBO) Kabisa unawapeleka chaka watanzania wote kuwa korona itapungua na itaisha bila hatua nilizotaja hapo juu kuchukuliwa?.!!!! Hakika hatutakaa tufanane pamoja na mtukufu rais JPM kutamani kuona watanzania wote wanasubiriana mpaka wote wafanana. To hell with your stupidity.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amekutukana kwani???!...mbona unapanic mzee!!!.
...
 
mbona umekata tamaa mkuu maneno yako hayana Afya kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo inavyopaswa kusikika Mkuu.Wanapenda kusikia hivyo ili wazidi kutuona wajinga.Kumbe tumeamka..kwa sasa wananchi wengi wanajua kuwa wapo alone alone.

Tunawapongeza viongozi wote wenye akili na wanaojielewa na watu wote wenye upendo kuanzia Mitaani huko na kote.Ambao si wabinafsi.
 
.
IMG_20200430_141329.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
You Idiot, stop fooling yourself and fellow stupid citizens. Sina tabia ya matusi na ukali napochangia hoja lakini members mtanisamehe hapa. Hivi inawezekana vipi rate ya maambukizi ikaanza kupungua wakati parent source ya uzalishaji virusi haijaanza hata kushughulikiwa hata kidogo?. Mimi ninavyojua kama unatakakupambana na tatizo lolote unatakiwa kufuata process zifuatazo:- 1. Identify the problem 2. Identify the root cause 3.Design measures to up root the problem by elimination of root cause completely to avoid non- re occurence. 4. Then rekebisha madhara yaliyosababishwa na tatizo hilo kabla ya kugundulika na kushjghulikiwa. Sasa wewe Idiot (ISEMBO) Kabisa unawapeleka chaka watanzania wote kuwa korona itapungua na itaisha bila hatua nilizotaja hapo juu kuchukuliwa?.!!!! Hakika hatutakaa tufanane pamoja na mtukufu rais JPM kutamani kuona watanzania wote wanasubiriana mpaka wote wafanana. To hell with your stupidity.

Sent using Jamii Forums mobile app
yote umeyamaliza mkuu
siongezei neno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unadhani Uganda ni bora kuliko Tanzania, hamia huko huko Uganda. Kukimbilia matusi ni kuogopa hoja, hoja hupingwa kwa hoja sio matusi, kejeli wala dhihaka. Msimamo wa serikali na Rais JPM no thabiti na wa kishujaa na kizalendo. Lockdown kwa Tanzania ingesababisha vifo vingi kuliko vifo na Maambukizi ya Corona.
Kama huamini, jifungie ndani wiki nzima we we na familiya yako.
Kwa sasa wapo ambao hamtamwelewa Jemedari JPM, baada ya Corona mtampongeza.
Tunahitaji Viongozi jasiri na Imara ili kufikia Maendeleo.
You Idiot, stop fooling yourself and fellow stupid citizens. Sina tabia ya matusi na ukali napochangia hoja lakini members mtanisamehe hapa. Hivi inawezekana vipi rate ya maambukizi ikaanza kupungua wakati parent source ya uzalishaji virusi haijaanza hata kushughulikiwa hata kidogo?. Mimi ninavyojua kama unatakakupambana na tatizo lolote unatakiwa kufuata process zifuatazo:- 1. Identify the problem 2. Identify the root cause 3.Design measures to up root the problem by elimination of root cause completely to avoid non- re occurence. 4. Then rekebisha madhara yaliyosababishwa na tatizo hilo kabla ya kugundulika na kushjghulikiwa. Sasa wewe Idiot (ISEMBO) Kabisa unawapeleka chaka watanzania wote kuwa korona itapungua na itaisha bila hatua nilizotaja hapo juu kuchukuliwa?.!!!! Hakika hatutakaa tufanane pamoja na mtukufu rais JPM kutamani kuona watanzania wote wanasubiriana mpaka wote wafanana. To hell with your stupidity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom