wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,556
Usilazimishe taratibu za uteuzi kwa nchi wa magharibi ndio ziwe standard kwetu afrika, grow up! Toa hiyo slavery mentality, umeshakuwa sasa tumia akili yako.
kuna mahali katiba ya Ug imemkataza na yeye kaovunja kwa kufanya hivyo?
Grow up?WTF
Ila kwa sababu we ni CCM najua kwako nakuharibia ulaji,nenda kachukue posho yako ya simu acha watu wajadili mada ya maana.
Sent from my iPhone using JamiiForums