jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Kulaani azimio la kumwelekeza mwendesha mashtaka wa ICC kuichunguza Burundi si hoja kuu, bali umelaani bila kufuata taratibu tunadhani Museven angepaswa kuzifuata.
Angeitisha kikao cha wanajumuiya ya Afrika Mashariki kisha wajadili jambo hilo na matokeo ya mjadala ndio mwenyekiti Museven angeutangaza hadharani.
Tamko la Museven halina uhalali wa kisiasa kuwa wana Afrika Mashariki tunalaani uchunguzi wa kijinai Burundi.
Angeitisha kikao cha wanajumuiya ya Afrika Mashariki kisha wajadili jambo hilo na matokeo ya mjadala ndio mwenyekiti Museven angeutangaza hadharani.
Tamko la Museven halina uhalali wa kisiasa kuwa wana Afrika Mashariki tunalaani uchunguzi wa kijinai Burundi.