Museven na Mugabe walianza kucheza na katiba za vyama vyao kwanza.

Shukrani A. Ngonyani

JF-Expert Member
Feb 23, 2014
1,179
2,004
Hawajawa madikteta kwa bahati mbaya, walijenga hofu na woga kwa watu na wakaanza kuchezea akili zao.

Walianza kubadili na kuweka viraka katiba za vyama vyao kwanza kabla hawajainajisi katiba ya nchi.

Hawa wawili, yaani Robert Mugabe na mate wake Yoweri Kaguta Museven wamebana demokrasia na kuwatesa wenye mawazo na hoja kinzani.

Wamefanya nchi kuwa kama familia yao, ndugu, jamaa, marafiki walamba viatu na watu wa kabila zao ndo watawala na wanaokula mema ya nchi.

Hivyo ni kusema kuwa kubadili na kupachika viraka katiba ni mabadiliko yenye matokeo chanya au hasi, ila mwenye kubadili ndo anajua lengo.


Nawaza tu!
 
Anaweza kuomba kuongezewa muda mpaka amalize kununua bombadia za kutosha? I mean akaomba miaka ya nyongeza kwenye katiba ya nchi??
 
Hawajawa madikteta kwa bahati mbaya, walijenga hofu na woga kwa watu na wakaanza kuchezea akili zao.

Walianza kubadili na kuweka viraka katiba za vyama vyao kwanza kabla hawajainajisi katiba ya nchi.

Hawa wawili, yaani Robert Mugabe na mate wake Yoweri Kaguta Museven wamebana demokrasia na kuwatesa wenye mawazo na hoja kinzani.

Wamefanya nchi kuwa kama familia yao, ndugu, jamaa, marafiki walamba viatu na watu wa kabila zao ndo watawala na wanaokula mema ya nchi.

Hivyo ni kusema kuwa kubadili na kupachika viraka katiba ni mabadiliko yenye matokeo chanya au hasi, ila mwenye kubadili ndo anajua lengo.


Nawaza tu!
Hata Mbowe naye kacheza na katiba ya chama chake, hakuna wa kuhoji
Ni mwenyekiti milele na milele!
 
Hawajawa madikteta kwa bahati mbaya, walijenga hofu na woga kwa watu na wakaanza kuchezea akili zao.

Walianza kubadili na kuweka viraka katiba za vyama vyao kwanza kabla hawajainajisi katiba ya nchi.

Hawa wawili, yaani Robert Mugabe na mate wake Yoweri Kaguta Museven wamebana demokrasia na kuwatesa wenye mawazo na hoja kinzani.

Wamefanya nchi kuwa kama familia yao, ndugu, jamaa, marafiki walamba viatu na watu wa kabila zao ndo watawala na wanaokula mema ya nchi.

Hivyo ni kusema kuwa kubadili na kupachika viraka katiba ni mabadiliko yenye matokeo chanya au hasi, ila mwenye kubadili ndo anajua lengo.


Nawaza tu!


Hata Mwenyekiti wenu MBOWWEE alipomfukuza TOZZI alichezea katiba ya chama au....???
 
Hawajawa madikteta kwa bahati mbaya, walijenga hofu na woga kwa watu na wakaanza kuchezea akili zao.

Walianza kubadili na kuweka viraka katiba za vyama vyao kwanza kabla hawajainajisi katiba ya nchi.

Hawa wawili, yaani Robert Mugabe na mate wake Yoweri Kaguta Museven wamebana demokrasia na kuwatesa wenye mawazo na hoja kinzani.

Wamefanya nchi kuwa kama familia yao, ndugu, jamaa, marafiki walamba viatu na watu wa kabila zao ndo watawala na wanaokula mema ya nchi.

Hivyo ni kusema kuwa kubadili na kupachika viraka katiba ni mabadiliko yenye matokeo chanya au hasi, ila mwenye kubadili ndo anajua lengo.


Nawaza tu!
Ni kweli kabisa. Na hapa tutarajie maamuzi ya kupitisha Katiba Mpya ambapo huyu aliyepo madarakani anaweza kupewa kipindi cha mpito, halafu akagombea tena.
 
Back
Top Bottom