Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
- Thread starter
- #21
...Ni Mluhya, kabila la pili kwa uwingi wa watu nchini Kenya baada ya Wakikuyu, kwa muda mrefu wamekuwa daraja la kuwabeba watu wa makabila mengine, but this time wana mhamko wa kumpata mtu wa kwao...
Tatizo la waluya huwa hawapigi kura labda sasa kwa vile wanamtu wao huenda wakaenda kupiga kura ya uraisi