Musalia Mudavadi ajitoa rasmi ODM na kujiunga na UDF

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,422
911,172
Mudavadi ditches ODM, resigns as Local Govt minister


Deputy Prime Minister Musalia Mudavadi who resigned as Minister for Local Government on Wednesday[Photo:File/Standard]
Musalia Mudavadi on Wednesday resigned as Minister for Local Government after ditching Orange Democratic Movement (ODM) but retained his Deputy Prime Minister post. Read More


mUSALIA.jpg

Deputy Prime Minister Musalia Mudavadi who resigned as Minister for Local Government on Wednesday[Photo:File/Standard]



Safari ya Mudavadi kuelekea Ikulu ya Kenya sasa imeshika kasi baada ya kujitoa ODM sasa hivi na kujiunga na chama cha UDFP ( United Democratic Forum Party). Mudavadi amekuwa katika mgogoro wa muda mrefu na Raila juu ya utaratibu wa kumpata mgombea uraisi wa ODM......Kufuatia hatua hii ya Mudavadi pia kajivua nafasi ya Uwaziri wa serkali za mitaa lakini anabaki kuwa Naibu Waziri Mkuu nafasi ambayo Raila hana ubavu wa kumng'oa bila ya kuvunja makubaliano yake na Kibaki kwa maana ya vyama vya PNU na ODM ambayo kwa pamoja ndivyo vinaunda serikali ya mseto.............

SOURCE: CITIZEN TV

MY TAKE:


Utabiri wangu ni kuwa kama Kenyatta na Rutto watakwamishwa na ICC..........Mudavadi is the most likely next president of Kenya and not Raila.
 
Safari ya Mudavadi kuelekea Ikulu ya Kenya sasa imeshika kasi baada ya kujitoa ODM sasa hivi na kujiunga na chama cha UDM. Mudavadi amekuwa katika mgogoro wa muda mrefu na Raila juu ya utaratibu wa kumpata mgombea uraisi wa ODM......Kufuatia hatua hii ya Mudavadi pia kajivua nafasi ya Uwaziri wa serkali za mitaa lakini anabaki kuwa Naibu Waziri Mkuu nafasi ambayo Raila hana ubavu wa kumng'oa bila ya kuvunja makubaliano yake na Kibaki kwa maana ya vyama vya PNU na ODM ambayo kwa pamoja ndivyo vinaunda serikali ya mseto.............

SOURCE: CITIZEN TV

MY TAKE:


Utabiri wangu ni kuwa kama Kenyatta na Rutto watakwamishwa na ICC..........Mudavadi is the most likely next president of Kenya and not Raila.

Raila hahitji ubavu kumtoa Musalia......kwa vile keshajitoa mwenyewe
 
Raila ni sawa na Dr Slaa. aliporwa haki yake mwaka 2008 lakini hakika anachukua nchi safari hii, huyo Mudavadi hana chake na safari ya kisiasa imefikia kikomo...
 
Siasa za Kenya huwa naangalia taarifa zao na kampeni zao ni balaa sana
Kenya watu wamegeuza misiba au ibada za misikitini na makanisani kama sehem ya kufanyia kampeni
Sijui Mudavadi kaona nini ila kupambana na Raila napo pagumu sana
 
Nikishamaliza vita iliyopo hapa nyumbani Tanzania ndio nitakuwa na uhalali wa kuangalia mambo ya Wakenya. Tanzania inatokomea tuwaache Wakenya na siasa zao kwa sababu wao kwao hawana time na siasa zetu.
 
Mudavadi kavutwa na lile kundi la Uhuru/Ruto/Kalonzo. Na kwa hali ya kisiasa kenya inayoongozwa na ukabila natumai mudavadi huenda akaungwa mkono pia hata na Raisi Kibaki kuhakikisha tuu TINGA haukwai uraisi wa Kenya.

Yetu macho maana wale washtakiwa wa ICC wako tayari kupambana vilivyo kuhakisha Raila hapati uraisi.
 
Anajitafutia kifo cha kisiasa. Ni vigumu sana kupambana na raila hivi sasa

..Kinyume chake Raila ndio ameshakwisha hivyo, uraisi atausikilizia tu kama Baba yake,Jaramogi, alivyousikilizia bombani...


...katika kipindi hiki kifupi baada ya uchaguzi wa 2007, ameshakosana na Pentagon members,Ruto-Rift Valley, Balala-Cost, na Mudavadi-Western, na bado Charity Ngilu-Eastern nae hawaivi tena...
 
Raila ndiye rais ajae Kenya

Fidel80..opinion poll ya jana kabla ya hili tukio imemweka Raia ngoma droo na Uhuru Kenyatta wote 44% na ikiwa 12% undecided..............................hii ni opinion poll ya Synovate....Raia will never ascend to Kenyan Presidency the real problem for him he is too abrasive......and has exalted himself above everything and God will humble him in the next poll
 
..Kinyume chake Raila ndio ameshakwisha hivyo, uraisi atausikilizia tu kama Baba yake,Jaramogi, alivyousikilizia bombani...


...katika kipindi hiki kifupi baada ya uchaguzi wa 2007, ameshakosana na Pentagon members,Ruto-Rift Valley, Balala-Cost, na Mudavadi-Western, na bado Charity Ngilu-Eastern nae hawaivi tena...

Bukoya uko sahihi..yawaje ile PENTAGON yote imklmbie?.Hata mama ngilu kwanza hayumo ODM ana chama chake cha NARC...........kwa hiyo ushiriki wake wa PENTAGON ni wa kusua sua tu................unapoona majemedari wote wanakukimbia ujue hukubaliki
 
Sio Mkikuyu ni mtu wa West. The same as Raila, now they will fight to win Central where Ruto and Kenyatta have their Stronghold. If you win central it means you win Kenya.

Yeah.central na Rift Valley...............
 
Hivi Mudavadi ni Mkikuyu?

...Ni Mluhya, kabila la pili kwa uwingi wa watu nchini Kenya baada ya Wakikuyu, kwa muda mrefu wamekuwa daraja la kuwabeba watu wa makabila mengine, but this time wana mhamko wa kumpata mtu wa kwao...
 
Mudavadi kavutwa na lile kundi la Uhuru/Ruto/Kalonzo. Na kwa hali ya kisiasa kenya inayoongozwa na ukabila natumai mudavadi huenda akaungwa mkono pia hata na Raisi Kibaki kuhakikisha tuu TINGA haukwai uraisi wa Kenya.

Yetu macho maana wale washtakiwa wa ICC wako tayari kupambana vilivyo kuhakisha Raila hapati uraisi.

kilichom'maliza Raila ni kuendesha ODM kiudikteta kwa mfano ugomvi wake na Mudavadi ni Raia kutumia katiba ya chama kutumia nafasi yake kama kiongozi wa chama kuwa uchochoro wake wa kugombea Uraisi bila ya kupigiwa kura ndani ya chama kwa maana ya kushindana na wengineo. Hili ni la ajabu sana kwa sababu Raila mwaka 2002 alimkimbia Moi baada ya kumtawaza Uhuru Kenyataa kwa madai ya kuwa hakuna demokrasia ndani ya KANU. Sasa kwenye ODM kaanzisha mambo ya kujihalalishia kugombea uraisi kwa kutumia katiba badala ya kura ya wanachama. Afadhali hata katiba ya KANU haikumhalalishia yeyote ugali nje ya kura za kamati husika.......
 

Ni Mluhya....ukabila wa Kenya na balances zake nazijua vizuri sana Ruta.....kisiasa by rank ni kama hivi:


  1. Kikuyu(hawa ni ma opportunist sana na wanajua jinsi ya kubalance mambo ila hawana strong candidate zaidi ya Uhuru ambaye sio popular sana ni kama Lowassa huku kwetu)
  2. Luhya(Hawa wamegawanyika kambi nyingi sana: Kombo Camp, sasa Mudavadi)
  3. Jaluo(wako pamoja nyuma ya Raila)
  4. Kalenjin(wamegawanyika- Moi Camp, Ruto Camp na undecideds)
  5. Kamba(hawa hufuata upepo zaidi ila wana kambi mbili-Mama Ngillu na Kalonzo)
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom