nyamakonge
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 363
- 130
TAHLISO sasa imepata mtu mchapakazi.kijana huyu ambae ni rais wa serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu Bugando CUHASSO.
Ameonesha uwezo mzuri wa kuongoza na kutetea maslahi ya wanafunzi muda mfupi toka aliposhika nyadhifa hiyo.
Ameonesha uwezo mzuri wa kuongoza na kutetea maslahi ya wanafunzi muda mfupi toka aliposhika nyadhifa hiyo.