Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,372
- 6,509
Mkuu upoMkuu nenda kwa daktari wa wamama katika hospital uliyokaribu nawe.
Mkuu upoMkuu nenda kwa daktari wa wamama katika hospital uliyokaribu nawe.
Hilo ni tatizo na ukiendelea zaidi anasema unamchubua! Bishaaaa???
Kama vile sikuelewi!Inatokea lakini anakuwa kashamaliza mapema sana, nakuwa kama namkera sana. Kiufupi namvumilia tu
HahAha noma sanaDaah!! Hatari sana hiyo.
Nipo kiongoziMkuu upo
Kila kitu kinapendeza kikiwa kiasi.HahAha noma sana
Na angekua anachelewa sana angeleta mjadala hapa
Safi sana aseeNipo kiongozi
habari yako mkuu
Wengi tumekuwa tukisikia tatizo la wanaume kuwahi kufika kileleni na kutowalidhisha wake au wapenzi wao.
Tatizo hili si kwa wanaume pekee bali kwa kina dada baadhi, nimekuwa na mpenzi wa muda mrefu tu, tatizo kake kubwa ni kuwahi kufika kileleni,
Nilijaribu pia kutafuta ushauli wa kitaalamu lakini nilipo muomba twende pamoja kwa mtaalamu wa saikolojia alikataa na kusema yeye hana tatitizo,
Sasa namuona analoteza kabisa kujiamini katika mapenzi akihofia kufika kileleni mapema. Kwani ndani ya dakika mbili tatu huwa kamaliza kabisa na hataki kuendelea,
Hii si mala ya kwanza kukutana na mwanamke wa namna hii hasa mabonge, wakati mwingine nahisi wanawake mabonge wanashida sana,
Nifanye nini wakuu, kumpenda bado nampenda.
Kuchelewa kufika kwa mwanamke ndo kawaida yao,HahAha noma sana
Na angekua anachelewa sana angeleta mjadala hapa
Kweli kabisaKila kitu kinapendeza kikiwa kiasi.
Ni Kweli lkn wapo wanaozidi mkuu hadi keroKuchelewa kufika kwa mwanamke ndo kawaida yao,
Madada wa arusha atupo ivo banaHivi si ni huyo mdada wa Arusha kweli?
Inatokea lakini anakuwa kashamaliza mapema sana, nakuwa kama namkera sana. Kiufupi namvumilia tu