Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

Huwa awajifunzi elimu utolewa daily hao waosha magari ndio wachonga funguo usiache ufunguo uoshapo gari au lisubirie.
Gari la milioni 100 jet washer hata laki moja tu unapata na kuosha ni dakika 5 unajioshea mwenyewe
 
Una idea yoyote labda kuhusu masuala ya bima?

Nikusema buses zote za mikoani,daladala kwenye miji mbalimbali hapa home gari zote zinazoendeshwa mijini huwa zinaendeshwa na wamiliki?sasa kumbe kuna haja gani kukata bima hali yakuwa haitoi msaada chombo kikipata tatizo kikiwa nje ya mikono yako?...hey mimi nakushauri kitu hujui kukaa kimya siyo dhambi.

Insurable interest..
 
Kwanini umesema hivi?unadhani mwenye gari hiyo anashindwa kwa mwaka kulipa 980K au 1.2mill iwe ulinzi wake kwenye emergency kama hizi?

Then kama analipa hivi kwanini isiwe msaada kwake?
Bima watalipa kweli hapo?
 
Huyu dogo waende naye tu, kama vipi wafungulie faili milembe wajiridhishe kama kachizika kweli, wagharamie matibabu halafu arudi kulipa deni🤣
Hata akiuza figo hawezi lipa deni hilo.
Vingine unasamehee tu Ili kufungua baraka zingine zije.
Huwezi jua hilo gari lilipatikanaje pesa zake labda zinarudi zilipotoka.
 
Huwa awajifunzi elimu utolewa daily hao waosha magari ndio wachonga funguo usiache ufunguo uoshapo gari au lisubirie.
Gari la milioni 100 jet washer hata laki moja tu unapata na kuosha ni dakika 5 unajioshea mwenyewe
Hiyo gari huwez kuichongea funguo kirahisi mjomba labda upate muda wa kutosha na unaweza ukaichonga na ukaishia kufungua milango tu ukashindwa kuondoka na chuma
 
Mmiliki nae bahili Sana viboko vinamhusu,car wash za ndoo na dodoki unapeleka gari za chini ya milioni 10,
Kitu cha milioni 100 unapelekaje kuosha chini ya mwembe.
 
Alimpa funguo ili aendeshe au alimpa ili afungue na kuosha ndani?
Lengo la kumpa funguo ni ili aoshe ndani (nadhani). Lakini hawa vijana sometimes huwa wanasogeza magari wenyewe kupisha mengine hapo hapo car wash. Labda alinogewa akajikuta anaendesha
 
Habari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka, mwoshaji kamaliza akachukua ford ranger ya Mteja kwenda kutamba nalo, kilichotokea kala mzinga ndinga haitamaniki yeye kapata uchizi wa ghafla.

View attachment 1877570View attachment 1877572
View attachment 1877571
Huyu jamaa mwenye kibukta ndo mwoshaji, hiyo video ndo inaonyesha kichaa cha ghafla alichopata, sipati picha mmiliki ana hali gani hiki ndo ukute alikuwa na third party tu.

View attachment 1878612


Vichaa vingine havina faida, kichaa kilitakiwa kimtume akimbie; mshaurini tu akimbie, Hana kichaa huyo anaitaji kupewa tu mawazo afanye nini!
 
Lengo la kumpa funguo ni ili aoshe ndani (nadhani). Lakini hawa vijana sometimes huwa wanasogeza magari wenyewe kupisha mengine hapo hapo car wash. Labda alinogewa akajikuta anaendesha
Sasa hiyo inatofauti gani na mwizi asiye na leseni kuiba gari na kwenda kupata nalo ajali? Kwamba bima wasilipe?!
 
Ukisikia mitihan dunian ndo kama hii Sasa Sasa muosha magari atatoa wap hela ya ford ranger million 120 jamaa inabidi asamehe tu maana hata akimfunga haisaidii bado.

NB:
Hata mimi ningejifanya kichaaaa
Kichaa wa kamba kabisa...maana hata mazungumzo sijui nayaanzia wapi...
 
Huyo kachanganyikiwa.. Kuna mmoja alifanya tukio kama hilo ni houseboy.. Yeye baada tu ya kuwasha akaweka rivasi akakanyaga mafuta..gari ikarudi nyuma mpaka geti la jirani
Ku on a kakosea akaweka D gari ikarudi ilipotoka na kutua kwenye kiambaza..gari ilikuwa GX90 baloon ikawa kama beetle .. Aliposhuka akaanza kukimbia mtaani huku akipiga kelele kuwa sio yeye
😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Habari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka, mwoshaji kamaliza akachukua ford ranger ya Mteja kwenda kutamba nalo, kilichotokea kala mzinga ndinga haitamaniki yeye kapata uchizi wa ghafla.

View attachment 1877570View attachment 1877572
View attachment 1877571
Huyu jamaa mwenye kibukta ndo mwoshaji, hiyo video ndo inaonyesha kichaa cha ghafla alichopata, sipati picha mmiliki ana hali gani hiki ndo ukute alikuwa na third party tu.

View attachment 1878612
Hili tatizo linatoksna na kujenga urafiki wa kupitiliza na waosha magari wengine hufikia wakitaka wapelekewe huko waliko baada ya kuosha, waoshaji wengine hukopi funguo za gari na kuchonga zao hivyo siku ukiondoka na ufunguo wako yeye anatumia wake.
 
Sasa hiyo inatofauti gani na mwizi asiye na leseni kuiba gari na kwenda kupata nalo ajali? Kwamba bima wasilipe?!
Hii incident in tofauti na wizi wa gari. Hii ni uzembe kabisa. Mwizi akiiba gari kisha akapata nayo ajali, bima wanalipa, ila sio hii ya kumuachia garo dogo wa car wash.
 
Back
Top Bottom