Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

Hii incident in tofauti na wizi wa gari. Hii ni uzembe kabisa. Mwizi akiiba gari kisha akapata nayo ajali, bima wanalipa, ila sio hii ya kumuachia garo dogo wa car wash.
Kwani unapopaki gari bila kuweka mlinzi sehemu isiyo na fensi huwa unafanya hivyo ili liibiwe? Hali kadhalika unapompa fungua ili aweze kuliosha ndani huwa unampa ili aibe na kuendesha barabarani?
Alichofanya huyo dogo si kaiba gari? Si tunauhakika gani kwamba hakuwa anaenda kulikata screpa?

Labda mseme gari likiibiwa na mwizi asiye na leseni basi bima hailipi, kwahiyo tuwe tunabandika matangazo kwenye gari yanayosema, “Kama huna leseni, usiibe gari hili”, ili wezi wasio na leseni wakiona waache kuiba, thats how ridiculous this is!
 
Umenikumbusha rafiki yangu mmoja aliazima gari Dar kwa jamaa ili aende nayo Kigoma nyumbani kwao akapewa.

Kajaza mafuta kaondoka, akiwa njiani taa ya check engine ikawaka yeye hana habari ni kuchapa mwendo tu, ghafla gari ikaanza kuchemka sana, akawa anasimama anafunua bonet anajaza maji kwenye radiator anachapa mwendo tatizo linajirudia anajaza maji anaondoka.

Joto likawa kali sana ndani ya gari akawasha AC full lakini bado tatizo liliendelea, kufika tabora gari ikazima ikamlazimu kuwaona mafundi, aseeeeee
fundi kucheck gari engine haifai hata kupima skrepa! Kaikaanga block haitamaniki ndani vyuma hadi vimepinda.

Kwa maelezo yake anadai fundi aligundua tatizo ilikuwa ni kukosa oil. Alilazimika kukopa hela akanunua engine. Baada ya hapo aliapa kutokurudia kuchezea vyombo vya watu maana gharama ya kufika Kigoma kwa njia ya bus ni nafuu kuliko kujaza mafuta usafiri binafsi
 
Umenikumbusha rafiki yangu mmoja aliazima gari Dar kwa jamaa ili aende nayo Kigoma nyumbani kwao akapewa.

Kajaza mafuta kaondoka, akiwa njiani taa ya check engine ikawaka yeye hana habari ni kuchapa mwendo tu, ghafla gari ikaanza kuchemka sana, akawa anasimama anafunua bonet anajaza maji kwenye radiator anachapa mwendo tatizo linajirudia anajaza maji anaondoka.

Joto likawa kali sana ndani ya gari akawasha AC full lakini bado tatizo liliendelea, kufika tabora gari ikazima ikamlazimu kuwaona mafundi, aseeeeee
fundi kucheck gari engine haifai hata kupima skrepa! Kaikaanga block haitamaniki ndani vyuma hadi vimepinda.

Kwa maelezo yake anadai fundi aligundua tatizo ilikuwa ni kukosa oil. Alilazimika kukopa hela akanunua engine. Baada ya hapo aliapa kutokurudia kuchezea vyombo vya watu maana gharama ya kufika Kigoma kwa njia ya bus ni nafuu kuliko kujaza mafuta usafiri binafsi
😀 😀 😀 shida sana. Raha ya gari, unapoipiga trip ndefu iwe ya kwako. Sio ya kuazima
 
Nilikuwa sijui kuhakiki bima, nimeangalia muda huu wanasema bima yangu ime expire siku 1550 zilizopita. Nimegundua ni waongo au taarifa haziingizwi kwenye system kwani sijawahi kuchelewa kukata bima kamwe
umeangalia kupitia link ya zamani kwa sasa wameweka link nyingine kwa ajil ya bima za online
 
Habari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka, mwoshaji kamaliza akachukua ford ranger ya Mteja kwenda kutamba nalo, kilichotokea kala mzinga ndinga haitamaniki yeye kapata uchizi wa ghafla.

View attachment 1877570View attachment 1877572
View attachment 1877571
Huyu jamaa mwenye kibukta ndo mwoshaji, hiyo video ndo inaonyesha kichaa cha ghafla alichopata, sipati picha mmiliki ana hali gani hiki ndo ukute alikuwa na third party tu.

View attachment 1878612
Kama kuna connection ya hii gar endapo mwenyewe hakulipwa na bima na anataka kuiuza anicheki dm tunainunua uliyesaidia nakupa posho yako
 
Habari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka, mwoshaji kamaliza akachukua ford ranger ya Mteja kwenda kutamba nalo, kilichotokea kala mzinga ndinga haitamaniki yeye kapata uchizi wa ghafla.

View attachment 1877570View attachment 1877572
View attachment 1877571
Huyu jamaa mwenye kibukta ndo mwoshaji, hiyo video ndo inaonyesha kichaa cha ghafla alichopata, sipati picha mmiliki ana hali gani hiki ndo ukute alikuwa na third party tu.

View attachment 1878612
Hii ndio inadhibitisha kwa nini mademu wakiingia kwenye magari makali,anakupa mzigo kiiulainiii....wanapataga kichaa/ wazimu wa muda😋
 
Ila wenye magari yabei hawanaga roho mbaya kama wenye ya being m 3 maana pesa sii tatizo soon atasamehewa
 
Haiwezi kumsaidia kwakua hakua anaendesha yeye.
Hapana, hakutoa idhini ya kuendesha, kwa hiyo bima watalipa tu, kama ana comprehensive.

Ila huyo mwosha magari anaweza kufunguliwa mashitaka ya wizi wa gari. Kuchukua gari ya mtu na kuondoka nayo bila idhini ni wizi. Kwa hiyo mwenye gari anatakiwa kulipoti polisi gari yake iliibiwa wakati alipoiacha kuosha
 
Back
Top Bottom