Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,085
Ni kweli, kampuni za bima sometimes hazipakii taarifa kwenye mfumo wa TIRASometimes data zinachelewa kuwa uploaded na hizi kampuni. Hawajawa competent sana kwenye IT. Mie huwa natembea na makaratasi ya Bima, kwa sababu sometimes TIRA MIS huwa haisomi vizuri.