bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 744
- 1,264
mbona matangazo mengi hayafuati masharti na hamuyaondoi?Ni sahihi kabisa. Kinyume na hapo tangazo litaondolewa na huenda likaondolewa pasipo taarifa..
mbona matangazo mengi hayafuati masharti na hamuyaondoi?Ni sahihi kabisa. Kinyume na hapo tangazo litaondolewa na huenda likaondolewa pasipo taarifa..
Ndiyo Mkuu, kuweka tangazo katika jukwaa hili ni BURE kabisa!
Hii bado Iko hivyo au Kuna mabadliko?Ndiyo Mkuu, kuweka tangazo katika jukwaa hili ni BURE kabisa!
Acha ukuda wewe! Kwanini tangazo la kuuza Tairi za Gari lifutwe kwa sababu za kipumbavu?Mnaolalamika matangazo yenu kufutwa pelekeni kwenye magazeti au runinga pamoja na television matangazo yenu yatapata airtime.
Muache kusumbua mods humu, wanayo mengi ya kufanya
mbona matangazo mengi hayakidhi vigezo na mnayaacha? mfano tangazo halina bei ya bidhaa/kitu, mengine kukosa picha n.k.Matangazo ambayo huondolewa ni yale yanayokiuka vigezo tajwa hapo juu au yanavunja JamiiForums Rules..
Unaweza kutupatia mfano wa tangazo lililoondolewa ambalo unadhani limeondolewa kimakosa?!
Karibu..
Mbna tangazo langu limezuiliwaNdugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa kuzingatia vigezo vya kuweka matangazo yao hivyo kupelekea matangazo yao kuondolewa hewani.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Ni vyema kuzingatia hatua hizo chache. Kinyume na hapo, tangazo lako litaondolewa hewani.
- Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
- Kama ni bidhaa, elezea hali yake (mpya au imetumika muda gani) huku ukiambatanisha na picha yake halisi.
- Taja bei
- Taja mahali huduma/bidhaa hiyo inapopatikana pamoja na mawasiliano yako.(Usiwaambie watu wakufuate PM kwa Mawasiliano. Weka namba ya simu)
- Weka taarifa mpya kuhusu bidhaa hiyo kwenye uzi husika, usianzishe uzi mpya.
- Usiweke tangazo moja mara nyingi.
Kuna baadhi ya matangazo hayaruhusiwi kabisa JamiiForums. Mfano matangazo ya kurasa za Blogs, Facebook, Instagram, Twitter, au mtandao wowote yataondolewa mara moja. Pia haturuhusu matangazo ya madawa ya asili, vipodozi, Tiba ya asili nk.
Serikali yapiga marufuku matangazo ya tiba za asili
NB: Matangazo yote yakae Jukwaa la Matangazo.
Karibuni kwa maswali na ufafanuzi zaidi..