Muongozo wa namna ya kuanzisha Photo Studio

George Betram

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
3,999
4,875
Habari wanajukwaa!?

Kuna sehemu nilifanikiwa kupita katika harakati zangu za usaka tonge, hiyo sehemu niliona hawana Photo Studio. Hii imenifanya nifikirie kufungua Photo Studio (ya kawaida) sehemu hiyo.

Sina uzoefu na hii biashara, nahitaji muongozo kutoka kwa watu wenye uelewa na taarifa sahihi kuhusu hii biashara ya upigaji picha.
Nahitaji kufahamu ni Camera ya aina gani inahitajika na bei yake, pia wapi naweza kuipata Camera hiyo.

Pia ninahitaji kufahamu ni vifaa gani vingine vya muhimu ambavyo ninahitaji kuwa navyo ili kufanya biashara hii. Pia nitafurahi nikijulishwa changamoto za biashara hii na wazoefu.

Ahsante!!!
 
Mahitaji ya haraka:
DSLR yeyote nzuri ya Nikon au Canon
Softbox
Framebox
Screens za rangi mbali mbali
Space (kuweza ku-accomodate vifaa mpigwa picha na mpigaji)
Changing room
Make Up Artist
Computer nzuri for editing. (Kama ni PC basi Core i7 8th generation kwa kuanzia)
Softwares (Adobe Photoshop and Lightroom)

Changamoto:
Ndoa kutetereka wakati wowote.
Kuletewa lawama unatembea na wake/mademu/watoto wa watu.
Ukimwi, kisonono etc

Ukiichukulia kama kazi na ukawa serious itakuinua na kukulipa sana, nimewaona wachache waliodhamiria wakiwa places sasa. Na nimewaona wachache waliochukulia tu kama chimbo wakirudi majumbani kwao na makovu, magonjwa na hasara.

Ukiweza kuwa na Epson Printer moja kwa wale wanaopenda kuondoka na picha mbili tatu kwa frames pia itapendeza
 
Mahitaji ya haraka:
DSLR yeyote nzuri ya Nikon au Canon
Softbox
Framebox
Screens za rangi mbali mbali
Space (kuweza ku-accomodate vifaa mpigwa picha na mpigaji)
Changing room
Make Up Artist
Computer nzuri for editing. (Kama ni PC basi Core i7 8th generation kwa kuanzia)
Softwares (Adobe Photoshop and Lightroom)

Changamoto:
Ndoa kutetereka wakati wowote.
Kuletewa lawama unatembea na wake/mademu/watoto wa watu.
Ukimwi, kisonono etc

Ukiichukulia kama kazi na ukawa serious itakuinua na kukulipa sana, nimewaona wachache waliodhamiria wakiwa places sasa. Na nimewaona wachache waliochukulia tu kama chimbo wakirudi majumbani kwao na makovu, magonjwa na hasara.

Ukiweza kuwa na Epson Printer moja kwa wale wanaopenda kuondoka na picha mbili tatu kwa frames pia itapendeza
Umenisaidia sana mzee wa kazi, lakini ningefurahi sana kama ungenichanganulia gharama ya hivyo vifaa ulivyonitajia.
 
Umenisaidia sana mzee wa kazi, lakini ningefurahi sana kama ungenichanganulia gharama ya hivyo vifaa ulivyonitajia.
Gharama nineziacha wazi kwa kuwa zinatofautiana kutoka eneo na eneo na pia zonatofautiana kulingana na upya au uchakavu wa kifaa husika.

Bei ya Computer ziko wazi ni wewe uipendayo tu.

Camera kuanzia Million na nusu plus extra lens

Printer kunanzia mia nane

Jengo sijui bei ya ulipo

Softbox sijui sokoni sasa ni bei gani (naamini sio ghali sana though)
 
Gharama nineziacha wazi kwa kuwa zinatofautiana kutoka eneo na eneo na pia zonatofautiana kulingana na upya au uchakavu wa kifaa husika.

Bei ya Computer ziko wazi ni wewe uipendayo tu.

Camera kuanzia Million na nusu plus extra lens

Printer kunanzia mia nane

Jengo sijui bei ya ulipo

Softbox sijui sokoni sasa ni bei gani (naamini sio ghali sana though)
Umemaliza kila kitu.
 
Umenisaidia sana mzee wa kazi, lakini ningefurahi sana kama ungenichanganulia gharama ya hivyo vifaa ulivyonitajia.
Hujui vyote hivyo sasa utapiga picha na zinahitaji utaalam? Au ndiyo wale mnaotoa picha mradi? Kabla hujafanya chochote unatakiwa upate mafunzo ya upigaji picha kwanza. Ungekuwa na hayo mafunzo wala usingekuja hapa kuulizia.
 
Hujui vyote hivyo sasa utapiga picha na zinahitaji utaalam? Au ndiyo wale mnaotoa picha mradi? Kabla hujafanya chochote unatakiwa upate mafunzo ya upigaji picha kwanza. Ungekuwa na hayo mafunzo wala usingekuja hapa kuulizia.
Nitaweka mtu mzee, mimi kuna shughuli nyingine nafanya.
 
Duu vifaa vyote hapo Hadi studio kukamilika siyo chini ya m7 - 10,
Swali langu je uwekezaji wa pesa nyingi hivyo kwa picha tu utarudisha kwa mda gani?
hapo nilazima ukombine na video production lasi hivyo utakula loss picha haziwezi kufaidisha kihivyo na mpaka hapo chakuongezea ni Adobe premiere software, lens, stand, taa maana hizo DSLR zina fanya vyote video na picha
 
Mahitaji ya haraka:
DSLR yeyote nzuri ya Nikon au Canon
Softbox
Framebox
Screens za rangi mbali mbali
Space (kuweza ku-accomodate vifaa mpigwa picha na mpigaji)
Changing room
Make Up Artist
Computer nzuri for editing. (Kama ni PC basi Core i7 8th generation kwa kuanzia)
Softwares (Adobe Photoshop and Lightroom)

Changamoto:
Ndoa kutetereka wakati wowote.
Kuletewa lawama unatembea na wake/mademu/watoto wa watu.
Ukimwi, kisonono etc

Ukiichukulia kama kazi na ukawa serious itakuinua na kukulipa sana, nimewaona wachache waliodhamiria wakiwa places sasa. Na nimewaona wachache waliochukulia tu kama chimbo wakirudi majumbani kwao na makovu, magonjwa na hasara.

Ukiweza kuwa na Epson Printer moja kwa wale wanaopenda kuondoka na picha mbili tatu kwa frames pia itapendeza
simply...unatakiwa ujue hao watu wanapendelea picha zipi za kupiga na kuondoka nazo hizo hazina editing..au za location na indoors yaani studio za location hazina garama ya maandalizi za indoors zina gharama... computa yeyote kuanzia core dual ikiwa na ram 2 gb unaweza kuanzia...uwe na adobe ujifunze hata on line kuedit .

kikubwa speed light(wanaita flash300k)hio soft box ni kitu kidogo 3k stand kwa ajili ya kufunga hio speed light mana laziama uanze mwenyewe sijui kama una hela ya kuajii mtu wa kushika mwavuli...chengine kamera body700k-1000k na lence yake iwe ndogo kuanzia mm 28/24 kuendelea 55/80(300k-400k) kwa ajili ya picha za ndani na ppsize kwa kuanzia vinatosha..kikubwa ujifunze namna ya kupiga picha hata kamera ndogo inaweza ya 200k kama unajua kupiga picha au simu...printer kama utakuwa unasafisha epson l850(1500k) au ya chini yake lakini watakukimbia ukiwa na ya chini sana...n

a pepar za kusafishia zinatakiwa uchukue ile quality ndio zinapendeka...sijui nini nimesahau ila niulize cochote ni moja kati ya biashara zangu...vya huyo bana hapo juu sijampinga ila nakuongezea na kukurahisishia ukiweza computa kubwa nunua lakini hata ndogo inaweza soft box kama huna hela kuna mbadala unaweza kugoogle..hata lighting unaweza kugoogle kuonyeshwa mbadala ila muhimu jifunze kupiga picha...
 
simply...unatakiwa ujue hao watu wanapendelea picha zipi za kupiga na kuondoka nazo hizo hazina editing..au za location na indoors yaani studio za location hazina garama ya maandalizi za indoors zina gharama... computa yeyote kuanzia core dual ikiwa na ram 2 gb unaweza kuanzia...uwe na adobe ujifunze hata on line kuedit ...kikubwa speed light(wanaita flash300k)hio soft box ni kitu kidogo 3k stand kwa ajili ya kufunga hio speed light mana laziama uanze mwenyewe sijui kama una hela ya kuajii mtu wa kushika mwavuli...chengine kamera body700k-1000k na lence yake iwe ndogo kuanzia mm 28/24 kuendelea 55/80(300k-400k) kwa ajili ya picha za ndani na ppsize kwa kuanzia vinatosha..kikubwa ujifunze namna ya kupiga picha hata kamera ndogo inaweza ya 200k kama unajua kupiga picha au simu...printer kama utakuwa unasafisha epson l850(1500k) au ya chini yake lakini watakukimbia ukiwa na ya chini sana...na pepar za kusafishia zinatakiwa uchukue ile quality ndio zinapendeka...sijui nini nimesahau ila niulize cochote ni moja kati ya biashara zangu...vya huyo bana hapo juu sijampinga ila nakuongezea na kukurahisishia ukiweza computa kubwa nunua lakini hata ndogo inaweza soft box kama huna hela kuna mbadala unaweza kugoogle..hata lighting unaweza kugoogle kuonyeshwa mbadala ila muhimu jifunze kupiga picha...
Akili kubwa mkuu nimekunyaka sana, nipo kwenye hii industry na sasa in mwaka wa 9 bado sijawa Strong enough.
 
Hujui vyote hivyo sasa utapiga picha na zinahitaji utaalam? Au ndiyo wale mnaotoa picha mradi? Kabla hujafanya chochote unatakiwa upate mafunzo ya upigaji picha kwanza. Ungekuwa na hayo mafunzo wala usingekuja hapa kuulizia.

Huyu mtu anaonekana hajui chochote kuhusu iyo bussness, yy kaona iyo huduma haipo kaona fursa, km unaweza kumsaidia mpe clear information,
 
simply...unatakiwa ujue hao watu wanapendelea picha zipi za kupiga na kuondoka nazo hizo hazina editing..au za location na indoors yaani studio za location hazina garama ya maandalizi za indoors zina gharama... computa yeyote kuanzia core dual ikiwa na ram 2 gb unaweza kuanzia...uwe na adobe ujifunze hata on line kuedit ...kikubwa speed light(wanaita flash300k)hio soft box ni kitu kidogo 3k stand kwa ajili ya kufunga hio speed light mana laziama uanze mwenyewe sijui kama una hela ya kuajii mtu wa kushika mwavuli...chengine kamera body700k-1000k na lence yake iwe ndogo kuanzia mm 28/24 kuendelea 55/80(300k-400k) kwa ajili ya picha za ndani na ppsize kwa kuanzia vinatosha..kikubwa ujifunze namna ya kupiga picha hata kamera ndogo inaweza ya 200k kama unajua kupiga picha au simu...printer kama utakuwa unasafisha epson l850(1500k) au ya chini yake lakini watakukimbia ukiwa na ya chini sana...na pepar za kusafishia zinatakiwa uchukue ile quality ndio zinapendeka...sijui nini nimesahau ila niulize cochote ni moja kati ya biashara zangu...vya huyo bana hapo juu sijampinga ila nakuongezea na kukurahisishia ukiweza computa kubwa nunua lakini hata ndogo inaweza soft box kama huna hela kuna mbadala unaweza kugoogle..hata lighting unaweza kugoogle kuonyeshwa mbadala ila muhimu jifunze kupiga picha...

Shukrani bro,
Umetusaidia wengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom