faruJoh
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 213
- 161
Habari wadau,
Mimi ni mtumishi niliyejiendeleza katika course niliyohitimu(shahada). Nilisomea hasa masuala ya sera na utawala ndani ya elimu. Nilifika kuwasilisha CV yangu Utumishi wakaniambia naweza kuomba nafasi ndani ya Wizara ya Elimu (Katibu Mkuu n.k). Cha kushangaza hawajanipa muongozo vizuri, nini cha kuomba, namna ya kuomba na anuani, sijui ni ubinafsi au la.
Nimekuja kwenu mnipe muongozo wenye uzoefu na hili.
Mimi ni mtumishi niliyejiendeleza katika course niliyohitimu(shahada). Nilisomea hasa masuala ya sera na utawala ndani ya elimu. Nilifika kuwasilisha CV yangu Utumishi wakaniambia naweza kuomba nafasi ndani ya Wizara ya Elimu (Katibu Mkuu n.k). Cha kushangaza hawajanipa muongozo vizuri, nini cha kuomba, namna ya kuomba na anuani, sijui ni ubinafsi au la.
Nimekuja kwenu mnipe muongozo wenye uzoefu na hili.