Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 3,953
- 4,458
Ukisoma tena hapo juu utaona kwamba jamaa alianza kufuatilia mtandaoni ndo akakuta aina ya Processor inayoingiliana na iliyopoMkuu kinachofanywa ubadili processor Fulani Ni motherboard, kwenye motherboard kunakuwa chipset husika ambayo inakuwa na support ya hizo processor.
Mfano hizi Ni chipset za karibuni za Intel na picha zake
Lga 1151
Hii inakubali cpu za Skylake na kabylake (gen ya 6 na 7)
Lga 1150
Hii inakubali haswell na broadwell (gen ya 4 na 5)
Lga 1155
Hii ilikuwa Ni Sandy bridge na ivy bridge (gen ya 2 na 3)
Ukiangalia kwa makini hizo picha hizo socket na pini hazifanani hivyo hata processor haziingiliani, huwezi ukatoa amd ama Intel nyengine ukachomeka tu socket yoyote inabidi ujue kwanza motherboard Ina support processor zipi na kununua processor inayokubali.
Sisi wenyewe kwenye Group tulimwambia haitowezekana ila jamaa alifanikiwa ku update
Nakuinbox namba yake umuulize vizuri