Mtoro8
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 335
- 172
Samahan mkuu sijakuelewa hapoangalia aliexpress simu nyingi za kichina vifaa vyake vipo humo.
Samahan mkuu sijakuelewa hapoangalia aliexpress simu nyingi za kichina vifaa vyake vipo humo.
ni app, nenda playstore search aliexpress kisha search unachotaka kupitia hio app.Samahan mkuu sijakuelewa hapo
laptop au desktop?Samahan mkuu iv..kariakoo ni maduka gan yanauza pc used lkn zipo vizur na cheap kidogo, nimeuliza hiv kwa maana ya kutokuzunguka sana mana maduka mengi. Asnte
OK thankshizi hazipo kwenye hizi generation za i series, zinaingia hapo kwenye series za atom, generation yake inaitwa braswell,
hazina nguvu mkuu, hizo zinatumia tu umeme kidogo.
Laptop mkuu...afu mfano km hii mkuu utajuaje generation ya ngap hii pc..hp elitebook 8440p i3 330mlaptop au desktop?
ukiona namba zake hazipo kwenye maelfu hizo i series ujue ni gen ya kwanza.Laptop mkuu...afu mfano km hii mkuu utajuaje generation ya ngap hii pc..hp elitebook 8440p i3 330m
Sawa mkuu shukran sana.na kati ya hp,dell, ipi ni best brand mkuu..ukiona namba zake hazipo kwenye maelfu hizo i series ujue ni gen ya kwanza.
laptop used online site kama kupatana, group za fb etc unazipata nzuri na kule kuna choice nyingi.
ila pia kkoo mtaa wa uhuru, likoma, machinga complex pia unazipata sema nyingi ni gen ya 2 na ya 3.
Sawa mkuu shukran sana.na kati ya hp,dell, ipi ni best brand mkuu..
Sawa mkuu shukran sana.na kati ya hp,dell, ipi ni best brand mkuu..
Mkuu msaada. Leo akat natumia PC ikiwa kwne chaj umeme ukakata. Cha ajab PC nayo ikazima lakin betri ilkua imechomekwa nkajarib kuiwasha ikagoma. Umeme uliporud nkaichomeka kwne chaji tena ila ile taa inayonotify umeme unapita haiwaki. Nkaiwasha ikanambia "press F2 to change time and date". Nkabadlsha ikawaka freshi ila nkichomoa tuu kwne Chaj inazima. Inawezekana n kwasaab ya umeme??mkuu brand zote ni sawa, sema kuna sub brand ambazo zikiwa mpya zinakuwa ghali sana milioni 1 kupanda hizi ukizipata ni nzuri zaidi
mfano
-lenovo thinkpad
-dell alienware au xps
-asus Rog
-hp spectre, envy etc
hizo unakuta apart from specs zinakuwa na vitu vya ziada ambavyo laptop za kawaida hazina kutegemeana na category.
mfano asus rog na dell alienware ni laptop za gaming, apart from specification utakuta zina mafeni mawili ya kupoza, uwezo mkubwa wa ku upgrade ram, optimization nzuri ya memory etc.
lenovo thinkpad ni ya biashara inakuwa ngumu kuharibika, wanaeka extra layer ya kulinda laptop na vitu kama vumbi, port nyingi etc
vitu kama hivyo laptop za kawaida huvikuti
pengine battery imekaa vibaya inatumia umeme wa adapter moja kwa moja.Mkuu msaada. Leo akat natumia PC ikiwa kwne chaj umeme ukakata. Cha ajab PC nayo ikazima lakin betri ilkua imechomekwa nkajarib kuiwasha ikagoma. Umeme uliporud nkaichomeka kwne chaji tena ila ile taa inayonotify umeme unapita haiwaki. Nkaiwasha ikanambia "press F2 to change time and date". Nkabadlsha ikawaka freshi ila nkichomoa tuu kwne Chaj inazima. Inawezekana n kwasaab ya umeme??
Mkuu nmefanya hivyo lakini bado haiwakipengine battery imekaa vibaya inatumia umeme wa adapter moja kwa moja.
jaribu kuichomoa hio battery na kuirudisha tena.
pengine imepata hitilafu, kama unaweza pata access ya battery kama hio unaweza kutest ili ujue kama tatizo ni battery yako.Mkuu nmefanya hivyo lakini bado haiwaki
mkuu hii ina core moja tu, ni ndogo sana labda uitumie kwa matumizi madogo.Vp kuhusu dell:
Intel(R)Celeron(R) CPU 925 @2.30GHz 2.29GHz
Asante mkuumkuu hii ina core moja tu, ni ndogo sana labda uitumie kwa matumizi madogo.
hii ni nzuri mkuu, ukiwa nayo even generation mpya hazina speed kubwa sana kuishinda hii.Intel(r)core(TM) i5-4200M CPU @2.50GHz 250GHz
Na vp kuhusu i5-5200u?hii ni nzuri mkuu, ukiwa nayo even generation mpya hazina speed kubwa sana kuishinda hii.
Mkuu hiki kifaa kwa Dar kinaenda kiasi gani na wapi naweza pata? ni case ya 2.5 sata convert to usb enclose ahsanteh
View attachment 625439