UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 406
- 456
Mwanangu mimi (mtoto wa dada yangu) amerudi analia, akisema amelawitiwa. Kwa uchungu nikamchukua mwanangu nikampeleka polisi. Nikapewa PF3 Tukaenda hospitali na gari la polisi. Baada ya mwanangu kufanyiwa uchunguzi hapo hospitali, daktari akanipa majibu yafwatayo.
"USHAHIDI HAUJAPATIKANA KWA SABABU, Hakuna majeraha yoyote yaliopatikana. Hakuna dalili ya kuwepo mbegu za kiume, na sehemu ya siri yake bado ipo seald.
Askari akanishauri nimshitaki mtu huyo kwa kifungu chengine, SIO KULAWITI,
Kutokana na maelezo ya mwanangu inadhihirisha wazi mtuhumiwa huyo alikifanya kitendo hicho, kwa kumtia vidole mwanangu huku na kumtumbukiza sehemu ndogo ya uume na ndo maana ushahidi haupatikani.
Na kwa mujibu wa maelezo ya wanafunzi wengine wa madrasa hio, mwalimu huyo ni kawaida yake. Je nifwate taratibu gani za kisheria nimtie hatiani mwalim huyo wa madrasa? Hakika anaharibu watoto wa kiume tu. La kuongeza mwanangu mwengine ashawahi kufanyiwa jambo kama hilo kisha akavutwa uume wake kwa nguvu.
Naishi Tanzania visiwani, japo ni mwenyeji wa bara. Nina uchungu zaidi ya mtu anayechunwa ngozi akiwa mzima, tena kwa msumeno butu.
Sent using Jamii Forums mobile app
"USHAHIDI HAUJAPATIKANA KWA SABABU, Hakuna majeraha yoyote yaliopatikana. Hakuna dalili ya kuwepo mbegu za kiume, na sehemu ya siri yake bado ipo seald.
Askari akanishauri nimshitaki mtu huyo kwa kifungu chengine, SIO KULAWITI,
Kutokana na maelezo ya mwanangu inadhihirisha wazi mtuhumiwa huyo alikifanya kitendo hicho, kwa kumtia vidole mwanangu huku na kumtumbukiza sehemu ndogo ya uume na ndo maana ushahidi haupatikani.
Na kwa mujibu wa maelezo ya wanafunzi wengine wa madrasa hio, mwalimu huyo ni kawaida yake. Je nifwate taratibu gani za kisheria nimtie hatiani mwalim huyo wa madrasa? Hakika anaharibu watoto wa kiume tu. La kuongeza mwanangu mwengine ashawahi kufanyiwa jambo kama hilo kisha akavutwa uume wake kwa nguvu.
Naishi Tanzania visiwani, japo ni mwenyeji wa bara. Nina uchungu zaidi ya mtu anayechunwa ngozi akiwa mzima, tena kwa msumeno butu.
Sent using Jamii Forums mobile app