enk George
Member
- Sep 18, 2017
- 11
- 1
Certificate o diploma
Diploma inakubali apoCertificate o diploma
AhsantKAMA UNAPENDA SHERIA NENDA KASOME
Mkuu matokeo yapo hapo juu cjajua kama diploma itakubaliunaenda certificate au diploma?.
unaomba bila kusoma guidebook inasemaje?,embu changamka mdogo wangu usiwaste your time bureMkuu matokeo yapo hapo juu cjajua kama diploma itakubali
Funguka vizuri mkuu hapo cjaelewa chochoteunaomba bila kusoma guidebook inasemaje?,embu changamka mdogo wangu usiwaste your time bure
Tafuta guidebook ya nacte soma uielewe vizuri then kama points zako zinaruhusu omba hiyo courseFunguka vizuri mkuu hapo cjaelewa chochote
Hapo nimekuelewa mkuuTafuta guidebook ya nacte soma uielewe vizuri then kama points zako zinaruhusu omba hiyo course
Habari wakuu,
Kuna wadogo zetu wamepata matokeo yao ya kidato cha nne leo. Ni ngwe muhimu sana kwenye maisha yao, kwa sababu ndio inayotoa upepo awe nani baadae kitaaluma kwa uchaguzi anaofanya sasa japo kwa baadhi wanaweza kuwa na wigo mpana wa kuchagua tena baadae.
Hapa jukwaani kuna wengi ambao walipita huko na wana uzoefu wa matokeo tofauti, iwe ya kufaulu, wastani au kufeli na jinsi gani walijikwamua kutoka kwenye hali yaliyokuwa nao wakati husika.
Kwa pamoja naamini tunaweza kuwapa mwanga hawa wadogo zetu wapunguze idadi ya makosa yanayotokana na kutokuwa na ufahamu ama kukata tamaa kwa kupata matokeo hafifu. Kwa heshima ningependa kuwaita wanajamvi wote katika kufikisha lengo la mada hii.
Karibuni!
Habar wanaJF mi nmemaliza kidato cha nne 2017 kutoka katika Technical School na nmepata :Habari wakuu,
Kuna wadogo zetu wamepata matokeo yao ya kidato cha nne leo. Ni ngwe muhimu sana kwenye maisha yao, kwa sababu ndio inayotoa upepo awe nani baadae kitaaluma kwa uchaguzi anaofanya sasa japo kwa baadhi wanaweza kuwa na wigo mpana wa kuchagua tena baadae.
Hapa jukwaani kuna wengi ambao walipita huko na wana uzoefu wa matokeo tofauti, iwe ya kufaulu, wastani au kufeli na jinsi gani walijikwamua kutoka kwenye hali yaliyokuwa nao wakati husika.
Kwa pamoja naamini tunaweza kuwapa mwanga hawa wadogo zetu wapunguze idadi ya makosa yanayotokana na kutokuwa na ufahamu ama kukata tamaa kwa kupata matokeo hafifu. Kwa heshima ningependa kuwaita wanajamvi wote katika kufikisha lengo la mada hii.
Karibuni!
Hapana masome mengine sijaorodhesha ila nimesoma masomo 10kweli?? hiyo mbona kama ni 24, au ndalichako siku hizi two ameifikisha huko. siku hizi raha sana hata civics hamsomi??
2 ya mwishoHiyo 2 au 3?
Food science ndio nilikua na mpango nayo but nikiweza pata chuo chochote cha Afya au chuo ambayo ntaweza pata ajira by serikali au private sectorUnazungumzia chuo cha aina gani kwanza dada?
ok, ngoja waje wajuvi wa haya mambo ndugu.Hapana masome mengine sijaorodhesha ila nimesoma masomo 10
food science nadhan ipo kwa level ya degree though sina uhakika sana.Food science ndio nilikua na mpango nayo but nikiweza pata chuo chochote cha Afya au chuo ambayo ntaweza pata ajira by serikali au private sector