Hilo neno nililolikazia lina maana gani?Cheap labourers
2007-2011Wewe umesoma lini Bingwa?
Ngoja waje. Hata mimi natamani kujuaWakuu habarini za humu jamvini. Binti yangu amemaliza form six mwaka huu amepata division II ya point 11. Alisoma HGK. Swali langu ni kwamba, je ana qualify kusoma degree ya sheria udsm au chuo kikuu chochote cha serikali? Natanguliza shukrani za dhati.
Udsm kwa sheria uhakika ni division One ya point 3 hadi 5 kwa wavulana na kwa wasichana ni division One ya point 3 hadi point 6Wakuu habarini za humu jamvini. Binti yangu amemaliza form six mwaka huu amepata division II ya point 11. Alisoma HGK. Swali langu ni kwamba, je ana qualify kusoma degree ya sheria udsm au chuo kikuu chochote cha serikali? Natanguliza shukrani za dhati.
ud kusoma sheria uwe na one ya mwanzon angalau mwisho saba hv au nane chini ya hapo ajarbu bahat sehem nyingneWakuu habarini za humu jamvini. Binti yangu amemaliza form six mwaka huu amepata division II ya point 11. Alisoma HGK. Swali langu ni kwamba, je ana qualify kusoma degree ya sheria udsm au chuo kikuu chochote cha serikali? Natanguliza shukrani za dhati.
Ushauri wa bure aombe Tumaini University au Saut labda ila kwa Udsm hizo alama hawezi kuchaguliwa Sheria .Alafu kigezo kingine kwenye kuchaguliwa sheria kwenye vyuo vingi ni ufaulu wa somo la English Language kwa Advance Level.So aliyesoma HGK chance ya kuchaguliwa labda awe alifaulu vizuri English kwa matokeo ya O LevelWakuu habarini za humu jamvini. Binti yangu amemaliza form six mwaka huu amepata division II ya point 11. Alisoma HGK. Swangu ni kwamba, je ana qualify kusoma degree ya sheria udsm au chuo kikuu chochote cha serikali? Natanguliza shukrani za dhati.
Acha kumdanganya, mimi kuna demu wangu alikuwa na div 2 point 12 na alipata sheria hapo UD na mkopo juu na kamaliza mwaka huu.Udsm kwa sheria uhakika ni division One ya point 3 hadi 5 kwa wavulana na kwa wasichana ni division One ya point 3 hadi point 6
Alisaidiwa na TCUAcha kumdanganya, mimi kuna demu wangu alikuwa na div 2 point 12 na alipata sheria hapo UD na mkopo juu na kamaliza mwaka huu.
Huyo muwahishe tudako tu hakuna namnaWakuu habarini za humu jamvini. Binti yangu amemaliza form six mwaka huu amepata division II ya point 11. Alisoma HGK. Swali langu ni kwamba, je ana qualify kusoma degree ya sheria udsm au chuo kikuu chochote cha serikali? Natanguliza shukrani za dhati.
Hiyo ni enzi ya mkwere mbaba!Acha kumdanganya, mimi kuna demu wangu alikuwa na div 2 point 12 na alipata sheria hapo UD na mkopo juu na kamaliza mwaka huu.