Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
mkataba kasema upoHakikisha anaekuuzia anakupa ID yake yyote ile, na mkataba ndio unaeza fanya transfer.
mkataba kasema upoHakikisha anaekuuzia anakupa ID yake yyote ile, na mkataba ndio unaeza fanya transfer.
Anzia hapa 👇1. Vipi kuhusu ununuzi wa gari kutoka mtu binafsi.
2. Pamoja na kupewa Kadi ya gari original, ni utaratibu gani mwingine kisheria unatakiwa ufuatwe?
Fika TRA ukiwa na documents husika za gari pamoja na zile za mauziano3. Vipi kuhusu utaratibu wa kupata kadi ya gari yenye jina langu?
Anzia hapa 👇
Documents za makabidhiano wakati wa ununuzi wa gari?
Habari wa Tanzania wenzangu, naomba kujuzwa; utaratibu unaotumika na aina ya documents za makabidhiano wakat wa ununuzi wa gari. All the procedure I mean, gari lililotumika toka mmilik A to B Ahsanteniwww.jamiiforums.com
Fika TRA ukiwa na documents husika za gari pamoja na zile za mauziano
Zaidi ingia hapa: 👇
MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania
Ndio waweza badi umiliki bila ya kuwepo aliyekuuzia.kubadili taarifa za umiliki bila kuwepo na aliyekuuzia?
Ni ndogo utalipia TRAVipi kuhusu gharama yake?
Na mchakato huu mzima unaweza kukamilika ndani ya siku moja? Yaani hakuna usumbufu?Ndio waweza badi umiliki bila ya kuwepo aliyekuuzia.
Ila unatakiwa uwe na
- Mkataba wa mauziano ulio sainiwa na pande zote mbili, Muuzaji na mununuzi, na kuthibitishwa na wakili.
- Nakala ya Kitambulisho cha aliyekuuzia.
Ni ndogo utalipia TRA