Brayson Minja
Member
- Aug 22, 2017
- 53
- 38
Habari wana jamvi, Nilkuwa na omba kujua kiundani kuhusiana na hii kozi ya post graduate deploma in education.
Mimi baada ya kumaliza degree yangu nataka ni badili fani.
Swali langu ni ili baada ya kumalza hii kozi ajra ziki toka unaajiriwa kama mtu mwenye degree ya uwalimu au yenyewe ina kuwa juu kidgo ya degree ya uwalimu.
Asanteni sana!
Mimi baada ya kumaliza degree yangu nataka ni badili fani.
Swali langu ni ili baada ya kumalza hii kozi ajra ziki toka unaajiriwa kama mtu mwenye degree ya uwalimu au yenyewe ina kuwa juu kidgo ya degree ya uwalimu.
Asanteni sana!