Awadh Upunda
Member
- Feb 8, 2017
- 27
- 11
Naomba kujua nini kazi ya hki kifaa maana cjaelewa ila najua kinatumika kwnye decoder ya explore na nimeona sehemu kimefungwa hki kifaa na fundi ametumia LNB ya kawaida na co smart LNB km tulivyozoea katika Explore zote
Je kifaa hiki kinabadilisha signal za LNB ya kawaida kuwa smart au fundi aliamua tu kufanya ivo na mteja analalamika kuwa Dstv yke inakatakata....muongozo tafadhaliiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Je kifaa hiki kinabadilisha signal za LNB ya kawaida kuwa smart au fundi aliamua tu kufanya ivo na mteja analalamika kuwa Dstv yke inakatakata....muongozo tafadhaliiii
Sent using Jamii Forums mobile app