Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,703
Habari JF,
Tulikuwa tunafanya bodaboda mahala. Sasa kuna jamaa alikua na kamuonekano fulani kazuri (HB) sasa basi kila mteja akija tumepanga watu 7 anamuita yeye.
Achilia hiyo alikuwa na wateja kibao hasa kina dada! Maana kila akiwabeba hawashuki bila kumuomba no. Kila tukifunga mahesabu jioni yeye bunda.
Akajaga kapata zari na mama mbunge sasa hivi jamaa anatembelea ndinga si bodaboda.
Tulikuwa tunafanya bodaboda mahala. Sasa kuna jamaa alikua na kamuonekano fulani kazuri (HB) sasa basi kila mteja akija tumepanga watu 7 anamuita yeye.
Achilia hiyo alikuwa na wateja kibao hasa kina dada! Maana kila akiwabeba hawashuki bila kumuomba no. Kila tukifunga mahesabu jioni yeye bunda.
Akajaga kapata zari na mama mbunge sasa hivi jamaa anatembelea ndinga si bodaboda.