Semenya
JF-Expert Member
- Sep 5, 2009
- 572
- 51
kwa wa Tanzania wengi waliopo nje ya nchi hutumia internet na vyanzo vingine kupata habari za mwenendo wa siasa Tanzania.
Mara nyingi ukiwa nje ya nchi ukiwa unafwatilia habari za siasa nchini, utadhani au utapata fikira kuwa CCM inahali ngum natete, na utafikiri kuwa JK hawezi fikisha hata asilimia 50.
UKWELI WA MAMBO NI KINYUME KABISA, UKIJA HUKU NDO UNAGUNDUA KUWA CCM BADO INA NGUVU SANA NA WATU BADO HAWANA IMANI NA UPINZANI.
Mara nyingi ukiwa nje ya nchi ukiwa unafwatilia habari za siasa nchini, utadhani au utapata fikira kuwa CCM inahali ngum natete, na utafikiri kuwa JK hawezi fikisha hata asilimia 50.
UKWELI WA MAMBO NI KINYUME KABISA, UKIJA HUKU NDO UNAGUNDUA KUWA CCM BADO INA NGUVU SANA NA WATU BADO HAWANA IMANI NA UPINZANI.