Muonekano wa moja ya ndege mpya za Air Tanzania

Umerudi tena baada ya googling....Nimekuonyesha hivyo ili kukupa picha kuwa,unaposema "Code" si Aircraft Model tu,pia kuna Design Code,Airlines Code,Aedrome Code nk nk....Twende taratibu!!halafu napumzika kidogo,huku kwetu sasa ni usiku wa manane....
Sasa mkuu nigooogle na kiwanja cha ndege cha mwl Julius Nyerere au Kenya airways?
Sababu hapo ulitaja viwanja tu na mashirika.
Mbona hujiamini mkuu?
 
Dili jipya hilo limeisha iva, maana zitafanya kazi baada ya muda utasikia ndege zile zimeuzwa kwa dola 500 kila moja na pesa imeweka kwa account ya Nyamicho! Mambo yaleyale ya kuuza foker na Twin outer! Lakini hii nchiiii!!!!!
Yaani mkuu hii nchi imejaa mamburula sijui kamatuko sawa na binadamu wengine. Watu wakohumu wanasifia ujinga huu wakati tulishakuwa nashirika kuubwa la ndege, Ccm hao hao na serikali yao wakaziuza kwa bei ya bajaj nahela wakatia mifukoni. Kabla yakusifia huu upuuzi watu tunapashwa kuhoji zilipo zile ndege zetu. Utashangaa watu wazima wanajifanya hawayajui haya wanasifia tu huu upuuzi. Kesho au keshokutwa nahizi zitauzwa tena nahawahawa, bado utaona watu wanatetea tu humu.

Sisi niwa ajabu sana. Nadhani aina yetu ndo anaongelea Trump kwamba inabidi kutawaliwa tena.
 
Samahani mkuu wangu barafu do me a favor naomba uniwekee link ya hizo codes au ziandike in a formal way naweza kuzigooooooogle sababu hapo kuna hizi hyphen - - -- -- ambazo sidhani kama zina anything meaningful kwenye hizo codes.

Na nini maana ya hiyo initial B### kwenye hizo codes?
Huelewi hata B inasimama badala ya nini?Tena katika mjadala unaohusu mambo ya ndege?Ndio maana nilisema najadiliana na mtu "mbishi"....Lets call it a night!!
We mwenyewe umeomba Boeing,na nimekuletea model tofautitofauti za Boeing na Codes zake!!Halafu hujui tena "B" inasimama badala ya nini?Ungekuwa mtu wa Avoation kwa kuona tu B738 ungejuwa ni Boeing 733-800(series 800) na B739 ni Boeing 733-900(series 900)
Ni kama Airbus 320 au Airbus 319 itakuwa A320 na A319 respectively!!
Usiku mwema mkuu REDEEMER.
 
Huelewi hata B inasimama badala ya nini?Tena katika mjadala unaohusu mambo ya ndege?Ndio maana nilisema najadiliana na mtu "mbishi"....Lets call it a night!!
We mwenyewe umeomba Boeing,na nimekuletea model tofautitofauti za Boeing na Codes zake!!Halafu hujui tena "B" inasimama badala ya nini?Ungekuwa mtu wa Avoation kwa kuona tu B738 ungejuwa ni Boeing 733-800(series 800) na B739 ni Boeing 733-900(series 900)
Ni kama Airbus 320 au Airbus 319 itakuwa A320 na A319 respectively!!
Usiku mwema mkuu REDEEMER.
Saaaafi hapo umemaliza mjadala mwenyewe asante sana kwamba umejua initial B kwenye hizo codes has absolutely nothing to do with craft size sio eti A ndogo B ndogo kidogo C size ya kati D kubwa kama ulivyokua unasema awali.

Nashukuru kwa kukubaliana na mimi pasi na kuacha shaka yoyote kwamba initial katika codes za ndege ni manufacturer initial name Boeing B### Airbus A### Douglas D### Gulfstream G### Canadaair C###.
 
Saaaafi hapo umemaliza mjadala mwenyewe asante sana kwamba umejua initial B kwenye hizo codes has absolutely nothing to with craft size sio eti A ndogo B ndogo kidogo C size ya kati D kubwa kama ulivyokua unasema awali.

Nashukuru kwa kukubaliana na mimi pasi na kuacha shaka yoyote kwamba initial katika codes za ndege ni manufacturer initial name Boeing B### Airbus A### Douglas D### Gulfstream G### Canadaair C###.
Daaah!!Umenichekesha sana mkuu!!Kumbe najadili kitu na mtu asiyejuwa kabisa.
Naposema A,B,C,D na F hizi ni Codes za Design na Size of the Aircrafts,na codes hizi zinakuwa grouped according to the Size and weight of the Aircrafts.
Ndio maana "Maximum Take Off Weight" ya A320 haiwezi kuwa sawa na "MTOW" ya 380,vilevile maximum weight of Landing ya hizi mbili lazima zitatofautiana,pia Fuselage size,Wing Span nk....Hapa ndio tunapata sasa utofauti unaowekwa kwenye Code za A hadi F...Kipi usichoelewa??

Hivyo hizi haziwezi kuwa ktk Code moja ya Design na Size,ila zitafanana katika Initial code ya Kampuni ambayo ni A ila model itatofautiana ambayo moja itakuwa model ya 320 nyingine 380.Usiwe mbishi ndugu!Ngoja niwaite kina Eli79 wakueleweshe
 
Bora umesema mdau manake watu wanakurupuka sana,hawafikirii wenyewe ni kukosoa tu
Acha kutetea nchi yetu ni kubwa sana sana na umbali toka dar mwanza unawiana tu na dar nairobi, pata picha flight toka mwanza mbeya, kama nchi nadhani cha kukimbilia ni kuimarisha viwanja vyetu viwe na hadhia ya kimataifa maana hata ukiwa na jet huwezi tua uwanja wa shinyanga kama si ndege ya mizgo. Ona kama dodoma tu hakuna kiwanja cha maana. tunahitaji njia zote za mawasiliano zifunguke, reli, barabara, anga na maji kote bado ni changamoto
 
Wengi wetu tulianza kupanga chumba kimoja, tukaenda double, tukapanga nyumba nzima, tukajenga nyumba zetu. Mbona mnaikaba ATCL kana kwamba mmesahau tulivyoanza maisha? Acha tuanze na pangaboi.
Mkuu vipi ukishafikia level yakumiliki ghorofa nne au zaidi ukaziuza, pesa zote ukaponda raha navimada hata watoto wako wasiambulie hata mia, then baada ya maisha kukupiga ununue nyumba aina ya Tembe . Kwahiyo jamii inayojua historia yako unataka ikupongeze kwa hatua uliyofikia?
 
Acha kutetea nchi yetu ni kubwa sana sana na umbali toka dar mwanza unawiana tu na dar nairobi, pata picha flight toka mwanza mbeya, kama nchi nadhani cha kukimbilia ni kuimarisha viwanja vyetu viwe na hadhia ya kimataifa maana hata ukiwa na jet huwezi tua uwanja wa shinyanga kama si ndege ya mizgo. Ona kama dodoma tu hakuna kiwanja cha maana. tunahitaji njia zote za mawasiliano zifunguke, reli, barabara, anga na maji kote bado ni changamoto
Kuna Jet zinatuwa Shinyanga,Mwadui na ule uwanja mpya wa Ibadakuli baada ya kuhamishwa toka ndani ya Mgodi
 
Kuna Jet zinatuwa Shinyanga,Mwadui na ule uwanja mpya wa Ibadakuli baada ya kuhamishwa toka ndani ya Mgodi
Unaona hivyo viwanja vipo kwenye migodi kusafilishia mali, waimarishe sasa viwanja vyetu. ndege nyingi za ATCL zinabaki kuwa magofu tu kama ile ya mwanza na ya kigoma
 
Sasa hii kutoka huko Canada itaruka yenyewe au itapakiwa kwenye meli!?
Nauliza hivi maana nasikia ndege kama za Auricair haiwezi kuruka direct Dar - Mwanza!
 
Nadhani cha muhimu ni kununua ndege zinazoendana na ukubwa wa Soko. Fastjet wenyewe wana mpango wabadirishe ndege zao za sasa kwa kuleta ndege ndogo.
 
Unaona hivyo viwanja vipo kwenye migodi kusafilishia mali, waimarishe sasa viwanja vyetu. ndege nyingi za ATCL zinabaki kuwa magofu tu kama ile ya mwanza na ya kigoma
Hiyo ya Mwanza naionea huruma, linazidi kuchakaa halitumiki
 
Hizo zitakatwa na kuletwa kama screpa. Watakuja kuziungia hapa uwanja mdogo wa ndege mama mdogi
Sasa kama ni ivyo mbona zinatengenezwa nzima si wangeleta izo screpa watengenezee hapa......huoni gharama hapo
 
Daaah!!Umenichekesha sana mkuu!!Kumbe najadili kitu na mtu asiyejuwa kabisa.
Naposema A,B,C,D na F hizi ni Codes za Design na Size of the Aircrafts,na codes hizi zinakuwa grouped according to the Size and weight of the Aircrafts.
Ndio maana "Maximum Take Off Weight" ya A320 haiwezi kuwa sawa na "MTOW" ya 380,vilevile maximuim weight of Landing ya hizi mbili lazima zitatofautiana,pia Fuselage size,Wing Span nk....Hapa ndio tunapata sasa utofauti unaowekwa kwenye Code za A hadi F...Kipi usichoelewa??

Hivyo hizi haziwezi kuwa ktk Code moja ya Design na Size,ila zitafanana katika Initial code ya Kampuni ambayo ni A ila model itatofautiana ambayo moja itakuwa model ya 320 nyingine 380.Usiwe mbishi ndugu!Ngoja niwaite kina Eli79 wakueleweshe
barafu hoja ilianzia hapa
IMG_20160824_105137.jpg
sasa uniitie nani tena wakati tatizo lilikua ni hizo initials tu kwenye codes in which umeshakubaliana na mimi hapo juu? Tumeshamalizana mkuu saivi tupo njia moja hayo maelezo mengine keep them mjadala umeshaufunga mwenyewe.
 
Fastjet’s New CEO Mulls Smaller Planes to Revive Africa Airline


June 16, 2016 — 10:48 AM EAT

Nico Bezuidenhout also planning head-office move from London

Former South African Airways executive takes up post on Aug. 1

Fastjet Plc’s new chief executive officer said he may replace the African discount carrier’s planes with smaller ones and move its head office to a city somewhere on the continent from London to help end losses.

The Airbus Group SE A319 jets used by Fastjet may be too large for the markets they serve, Nico Bezuidenhout said in an interview. It also doesn’t make sense to run an African airline “from 5,000 kilometers away,” according to the executive, who moves to his new post from South African Airways on Aug. 1.

Former Fastjet CEO Ed Winter quit amid clashes with investor Stelios Haji-Ioannou after warning that full-year earnings would miss analyst estimates and that the company was running short of cash. Bezuidenhout, 39, said the carrier must modify the low-cost model to better fit Africa’s operating environment.

“Work could be done in terms of Fastjet’s distribution network, refining its cost structure, evaluating and matching its fleet to market demand,” he said Wednesday at Bloomberg’s Johannesburg bureau. “Just that alone should get the business close to a break-even position.”

Too Big

Fastjet operates five A319s from bases in Tanzania and Zimbabwe after terminating the lease on a sixth in April, serving destinations in South Africa, Zambia, Uganda and Kenya, according to itswebsite.

Bezuidenhout, who made his reputation running SAA’s Mango unit and in stints as acting CEO of the group, said he’ll need to study operational data but suspects that the Airbus jets, configured with 145 to 156 seats, are too big and may need to be returned early.

That might point to a switch to the largest regional jetliners. Fastjet said a year ago that its fleet could reach 34 planes by the end of 2018, though mounting losses have since forced it to rein in even its current network.

The CEO-designate also plans to evaluate Fastjet’s route network, citing its Dar es Salaam to Zanzibar service as one that doesn’t appear to make sense because the journey time is so short given the fixed costs.

The airline could reduce costs and better understand its markets by moving its headquarters to Africa, with either South Africa or Tanzania the most obvious choices, Bezuidenhout said. A realistic target would be to complete the move within six to 12 months of starting the job, he said.

Efforts by some African governments to accelerate the liberalization of air transportation on the continent will also bolster Fastjet, the executive said.

Bezuidenhout said he respects the entrepreneurial credentials and business acumen of 12 percent shareholder Stelios, the EasyJet Plc founder who goes by his first name and who last week backed the new CEO’s appointment.

“He’s a vested stakeholder and you have to assume that he wants what’s best for his investment,” he said. “I’d be looking to find a way to cooperate with him and work with him and obviously draw on his knowledge and strengths.”

Fastjet will hold a shareholder meeting on June 28 to consider the future of Chairman Colin Child, who Stelios wants to force out. The airline said in a statement Friday that Child was instrumental in hiring Bezuidenhout’s and urged investors to back him.

Fastjet’s New CEO Mulls Smaller Planes to Revive Africa Airline
 
barafu hoja ilianzia hapaView attachment 386828sasa uniitie nani tena wakati tatizo lilikua ni hizo initials tu kwenye codes in which umeshakubaliana na mimi hapo juu? Tumeshamalizana mkuu saivi tupo njia moja hayo maelezo mengine keep them mjadala umeshaufunga mwenyewe.
Nimefuatilia mjadala wenu huyo jamaa hataki tu kukubali kwamba alikurupuka kwamba eti code ya ndege ikianza na A ni ndogo wakati codes za Airbus zote zimeanza na A na ni madege makubwa haswa.

Herufi ya kwanza ni herufi ya jina la maker wa ndege husika na sio ascending order size.
Upo njema asante kwa darasa.
 
Kwa nini makampuni ua ndege yanatumia engines za propela instead of jet engines:


Turboprop and turbojet/turbofan ("jet") engines use the same combustion and power generation concept: Combusting fuel spins a turbine.
The jet engine's turbine is made with a nozzle section to maximize the rearward thrust of heated gases that propel the plane.
The turboprop engine's high-speed turbine turns a gear assembly that spins the propeller at slower speeds with great power.

The main reason for preferring turboprop engines over pure jet engines is that turboprop engines deliver more power and greater efficiency at slower flying speeds than jet propulsion.

This begs the question of why an aircraft's fuselage is designed for a function or objective, and thus has a particular shape, which then determines its aerodynamics (and thus optimum speed.) A commercial passenger plane is designed for a relatively light load and lots of seating space, with some preference for speed but with definite consideration for fuel efficiency. A plane intended to carry large-cross-section cargoes could not be operated efficiently at faster speeds and turboprop engines would thus be more suitable.


Besides the economic advantage of turboprop engines, especially for smaller aircraft and shorter trip distances, turboprop engines:
make less noise than jet engines,
cost less than jet engines because of high-temperature metallurgy (materials cost and maintenance) and
have the least environmental chemistry impact from fuel consumption vs payload

For comparison, aircraft engines powered by reciprocating pistons are technically simpler, less expensive to acquire, but noisier than turbine engines and less efficient, especially as aircraft size increases. A useful primer about aircraft engine choices is Piston Engine Aircraft vs. Turboprop Engine Aircraft
.
Written 26 Oct 2013 · View Upvotes
Share
MORE ANSWERS BELOW. RELATED QUESTIONS
Which planes that have propellers are commonly used today in America?
When is it economical for commercial airlines to fly a propeller plane versus a jet?
Why do tip jet helicopters not spin in the same direction as the propellers?
Where can I buy a jet engine similar to the ones used in planes but about the size of a football?
What is it like to be a passenger on a propeller plane?
What is it like to own a jet plane?
Can a propeller driven plane break the speed of sound?
What are the advantages that twinned jet long range planes have over four engine planes like the A340?
Why are jet engines specified in pounds of thrust, while propeller engine ratings are given in horsepower?
Could a cargo ship be modified to allow take offs and landings for military jets? Propeller planes? Helicopters?
Can we use jet engines for cars?
Which is the largest propeller plane?
Why do some propeller planes have three throttles?
How important is the propeller for a plane?
Why are jet engines not used in trains?
OTHER ANSWERS
Dennis Ferguson
Dennis Ferguson, RFIC Engineer/Entrepreneur/native Texan
30.4k Views · Dennis has 90+ answers in Airplanes
Originally Answered: Why do large military planes like C130 have propeller engines? Isn't a jet engine more powerful and better?
Why do large military planes like C130 have propeller engines, isn't a jet engine more powerful and better?

Many equivalent aircraft do use jet engines. The C17 comes to mind. However, not all jets are actually just jets and not all prop driven airplanes are traditional reciprocating engines.

Modern aircraft like the C130 or even your high bypass Boeing jet use a combination of the propeller engine and jet engine. The C130 (and aircraft like the Tu-95 Bear) use a turboprop. These are essentially jet (turbine) engines, but instead of using the exhaust for thrust, they use a propeller. The propeller enables higher thrust in dense air where the C130 is most likely to fly. It also consumes less fuel.

Other aircraft, like the C17 and recent Boeing commercial jets use what is known as a high bypass jet engine. As much as 70% of the thrust from a high bypass jet engine comes from the large first stage compressor fan pushing air out the back of the jet. In many respects, this is just a propeller in a cage.

The jet engine was developed primarily for fighter aircraft that needed to operate at high speed and high altitude, where the air is thin and they need the speed to stay in flight (gotta have enough air molecules hitting the wings). Propeller driven reciprocating engines just weren't going to get there. Through the use of superchargers, they could get enough air to keep the engine performing well at higher altitude, but still not the altitudes that fighter aircraft needed to fly. In addition, the propeller was getting so big that the ends of the propeller were starting to go supersonic, which was creating its own set of problems.

Back in the 1950's everything went pure jet. Even commercial aircraft like the Boeing 707 and the de Havilland Comet use pure jets. They were noisy and consumed a lot of fuel. In the days when these jets reigned supreme, that was not an issue. Later, airport noise pollution and fuel cost came into play. The commercial world moved to high bypass engines which provided better performance in the operating regime where most airliners operated. The military followed suit and used similar engines. Hence aircraft like the C17. However, there is still a place for turboprop aircraft like the C130, that flies slower and lower, but has a lower operating cost than something like the C17. Because it doesn't go as fast, it uses less fuel, and that gives it greater loitering capability for those mission where that might be a factor.
Written 23 Oct 2015 · View Upvotes
Share
Tim Morgan
Tim Morgan, Commercial pilot: ASEL, AMEL, ASES, IA
9.9k Views · Tim has 600+ answers and 10 endorsements in Aviation
Jet engines are more expensive than piston or turboprop engines. Since jets turn faster and experience much higher temperatures, their components must be machined to a higher level of precision using stronger metals.

In addition, piston and turboprop aircraft can take off from and land on shorter airstrips. This is the reason the C-130 is a turboprop; it can deliver supplies to less improved airbases closer to the front.
Written 18 Nov 2013 · View Upvotes
Share
Brian Collins
Brian Collins, I am a graduate student of linguistics and interested in many things.
9.3k Views
Originally Answered: Why do large military planes like C130 have propeller engines? Isn't a jet engine more powerful and better?
"Why do large military planes like C130 have propeller engines, isn't a jet engine more powerful and better?"

In addition to Dennis Ferguson's points about fuel consumption, often it is tactically necessary to fly slower than most other plane's stalling speeds.

The C130 combat variant, the AC130 needs propellers for combat. Its purpose is not quickly fly by an enemy target, but instead to slowly pass over the target shooting it multiple times from the sky out of the side:



If it had jet engines, the engines would be much too inefficient at the slow speeds it is aiming for. The AC130 fights at a minimum speed slower than the stalling speed for most jet engines. Being slow has its advantage when your purpose is close air support.

The C130 has a stalling speed of 114 mph Aircraft Information - C130 Hercules. The F16 on the other hand has a classified stalling speed but it seems to be quite high (recently 2 were killed when an F-16 and Cessna collide in midair over S.C. when the F16 pilot did combat maneuvers to get in front of the Cessna, rather than attempting to follow it from behind at 120 mph); a Boeing 747 has a stall speed of about 208 mph with its flaps down at cruising altitude Page on anythingaboutaviation.com

Additionally, jet engines could be easily destabilized by a gun firing from one side of the plane at high speeds.

That being said, many AC130s have turboprops, and some C130s have even been modified with rockets to shorten their landing.

C130 have slow speed needs for airborne deployments. Imagine if you had to deploy paratroopers or equipment out of the plane going at 208 miles per hour? It would be much more difficult and possibly fatal for jumpers, who are instead deployed at 120 mph. A parachute might break at 10,000 feet if you jumped out at 208 mph, which is the stall speed of a 747. Going faster than that would be even worse.

High altitude parachuting is done at higher speeds, but the air is also thinner higher up in the atmosphere.


Takeoff and Landing:
Turboprops also work better on dirt and gravel runways than turbojet engines. Page on dodbuzz.com

Turboprops have much smaller openings in their engines that dirt and gravel can enter compared to turbojet engines.

Additionally, with turboprop engines you can go from 100% thrust to 100% reverse thrust much faster than a turbojet engine for landing. C130s have even landed on aircraft carriers, and are the largest aircraft to have ever done so.
Updated 7 Nov 2015 · View Upvotes
Share
Diego Sales
Diego Sales, Mechanical engineer with a few years of experience under my belt
3.2k Views
Originally Answered: Why do large military planes like C130 have propeller engines? Isn't a jet engine more powerful and better?




It's a matter of what you need, wether its speed, or thrust to move a bigger load. Usually the largest planes tend to go for turboprop or turbofan (like the c130 of your question or jetliners) , while small fighters go for turbojet+afterburners.

Edit*

Probably needed to add a fact, even though you see propellers in some modern planes, they are still jet engines (they are not powered by radial or other type of cylinder arrangement) called turbo props, which use most power to rotate the propellers and basically produce no thrust by the jet of hot gases like in turbojets
Updated 29 Dec 2015 ·
 
Back
Top Bottom