Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,590
- 22,200
Usishangae kusikia amepewa adhabu ya kufanya kazi za jamii kwenye chuo kikuu Udom kama ya Mramba.
Usishangae kusikia amepewa adhabu ya kufanya kazi za jamii kwenye chuo kikuu Udom kama ya Mramba.
Mbowe ni mtakatifu na shujaa mkubwa mithili ya akina Mandela dunia yote inafuatilia kwa karibu.haya ndio matatizo yenu nyinyi nazichadema, mnashangilia na yakwenu yako motoni, kweli nyie ni big time fools
Nyie watu mna vituo
Nimecheka balaa. Dogo agizia chochote hapo dukani kwa Mangi ntapitia baadaye na Renji yangu kulipiaHahaha! Hatari Sana.
Atakaporudi atakuta
1. Taifa Stars imechukua kombe la dunia mara 2.
2. Vichupi ndiyo vazi rasmi bungeni.
3. Ubakaji na kuvuta bangi ruksa.
Kwa hiyo kwa sasa, Sabaya ana miaka 24 ?Atatoka akiwa na miaka 54, sio 64.
Shukurani mkuuNimecheka balaa. Dogo agizia chochote hapo dukani kwa Mangi ntapitia baadaye na Renji yangu kulipia
34Kwa hiyo kwa sasa, Sabaya ana miaka 24 ?
nisamehe mkuu sikuwa najua nimejifunzaOnce more shame on u!!!!hapa sio fb, unapo kuja na povu la kumdhihaki mtu hasa kwenye hoja za kisheria/, jitahidi uwe unajua nini unachozungumzia!!!la sivyo unaonekana bonge la ndezi!!eti gerezani huesabia usiku na mchana hahaaaa!!labda huko mufindi!!lakini duniani kote kifungo anachotumikia mfungwa ni 2/3!!kuna majukwaa kibao ya kutoleana povu, mfano yale ya mipira yanga na simba!!nani ana timu nzuri, hata huna facts unaweza shinda kutokana na uwezo wako wa kubwbwaja, lakini sio huku kwenye facts.
Ww ndio yule mchumba wake nin khaaa?!,kwa jinsi ulivyopunguza hio miaka ila usijali mama cha msingi ww mtunzieNyie ni wapuuzi tu hiyo miaka 30 ni jumla ya miaka katika makosa mengi aliyokuwa akituhumiwa nayo.Hii miaka yote anaitumikia kwa wakati mmoja hivyo kifungo hapo miaka mitatu tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwamba sasa hivi ana miaka 24??.Atatoka akiwa na miaka 54, sio 64.
Wanahesabu Vipi??.Unadhani hiyo miaka 30 Ni miaka 30 kweli gerezani hawahesabu miaka hivyo Kama unavyofikiria.
Sahihi kabisaKila mfungwa aliyehukumiwa kukaa jela huwa anasamehewa 1/3 ya kifungo chake.
Kwa hiyo kwa sabaya ataondolewa miaka 10 kwa mfumo huo huo wa kupunguziwa 1/3 ya kifungo chake so basically atakaa gerezani miaka 20.
Hakuna kitu cha kuhesabu usiku na mchana.Siku ina masaa 24 vilevile kama tu uraiani.
Hakuna kitu kama hicho Bali kuna mahesabu yanafanyiwa. Hilo la usiku na mchana ni maneno Tu.hata hesabu hujui kweli kama taifa bado tuna safari ndefu sabaya ana 34+30=64 kwasababu gerezani tunahesabu usiku na mchana ni siku 34+15=49
Hebu kuweni watu wenye kufuatitilia angalau hata robo ya michango inayokuwa imetolewa juu ya uzi fulani!!badala ya kurukia rukia mambo, kwani msingekuwa mnauliza uliza mambo ambayo yameshatotewa ufafanuzi.34 + 30= ndiyo 54 kweli???
Simba bingwa mara 33 mfululizoHahaha! Hatari Sana.
Atakaporudi atakuta
1. Taifa Stars imechukua kombe la dunia mara 2.
2. Vichupi ndiyo vazi rasmi bungeni.
3. Ubakaji na kuvuta bangi ruksa.
3/4 ya Wana JF tumeshalamba udongo🏃🏃🏃. Sijui Kwa nini najua Sabaya ana makosa lakini moyo umegoma kufurahia.Simba bingwa mara 33 mfululizo
Nitamlindia mke na watoto atawakuta wakiitwa kina Ole BujibujiMkewe inakuaje kimila