Muonekano mpya wa Oneplus Nord N20 wavuja

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
f5fd804fa8bef7849807c71a447de800.png
Muonekano mpya wa OnePlus Nord N20 5G umevuja, muonekano mpya umebadilika sana na imekuwa katika muundo wa flat-edges kama iPhone 12 na iPhone 13.

Simu hii ya Mid-range (simu ya daraja la Kati/Wastani) itakuwa na muonekano mpya katika sehemu ya kamera, itakuwa na kamera tatu (na sio nne kama ilivyo katika OnePlus Nord N10) na lens za kamera zimejitenga. Kamera mbili zitakuwa na duara kubwa na pembeni itakwepo kamera moja na Flash.

Specs zilizovuja itakuwa na Snapdragon 695 5G, kioo cha AMOLED inch 6.3 na Finderprint itawekwa ndani ya kioo.

Bei yake inaweza isizidi Laki 7 kwa sababu ni Mid-range.
 
itakua sio poa inafaa sana
View attachment 2013859 Muonekano mpya wa OnePlus Nord N20 5G umevuja, muonekano mpya umebadilika sana na imekuwa katika muundo wa flat-edges kama iPhone 12 na iPhone 13.

Simu hii ya Mid-range (simu ya daraja la Kati/Wastani) itakuwa na muonekano mpya katika sehemu ya kamera, itakuwa na kamera tatu (na sio nne kama ilivyo katika OnePlus Nord N10) na lens za kamera zimejitenga. Kamera mbili zitakuwa na duara kubwa na pembeni itakwepo kamera moja na Flash.

Specs zilizovuja itakuwa na Snapdragon 695 5G, kioo cha AMOLED inch 6.3 na Finderprint itawekwa ndani ya kioo.

Bei yake inaweza isizidi Laki 7 kwa sababu ni Mid-range.
 
Hiyo simu haiwezi kuwa chini ya laki 9. Laki saba umeweka hela ya chini sana au unataka kusema inazidiwa na Samsung A 52 na Oppo Reno 5. Hiyo ni 5G kwanza
Ukiachana na michakato ya hapo kati kiuhalisia simu hua na bei ya kawaida.
Kwa mfano simu hiyo itauzwa na kampuni husika kwa gharama ya Tsh.700,000 lakini Kulingana na process mpaka simu kuingia dukani ndipo bei hupanda sababu hapo kati kina Wholesale, agent, broker, retailers mpaka kumpata Consumer hao wote kati watapenda kupata faida ndio maana bei hupanda.

Hivyo simu kama hiyo hadi kukufikia wewe unaweza uziwa hata 1.3M
 
Ukiachana na michakato ya hapo kati kiuhalisia simu hua na bei ya kawaida.
Kwa mfano simu hiyo itauzwa na kampuni husika kwa gharama ya Tsh.700,000 lakini Kulingana na process mpaka simu kuingia dukani ndipo bei hupanda sababu hapo kati kina Wholesale, agent, broker, retailers mpaka kumpata Consumer hao wote kati watapenda kupata faida ndio maana bei hupanda.

Hivyo simu kama hiyo hadi kukufikia wewe unaweza uziwa hata 1.3M
Sasa inauzwa kwa 700k nani atauziwa unit moja kiwandani. Mtu akiuliza bei ya IST used from Japan itabidi umwambie ni around milioni 12 na sio around milioni 6 bei ya kule Japan. Factory price wanauziwa retailers wanaochukua units nyingi alafu hao ni muhimu kwa kampuni kuuza mzigo mwingi duniani imagine Apple hawajawahi tia mguu Tanzania ila MacBook, iPhone zipo
 
Sasa inauzwa kwa 700k nani atauziwa unit moja kiwandani. Mtu akiuliza bei ya IST used from Japan itabidi umwambie ni around milioni 12 na sio around milioni 6 bei ya kule Japan. Factory price wanauziwa retailers wanaochukua units nyingi alafu hao ni muhimu kwa kampuni kuuza mzigo mwingi duniani imagine Apple hawajawahi tia mguu Tanzania ila MacBook, iPhone zipo
Hivyo hivyo kwa iPhone bei inayo uzwa hapa bongo si sawa na bei inayo uzwa huko mambele.

Kwa huku bongo ni bei kubwa ukilinganisha na mambele
 
View attachment 2013859 Muonekano mpya wa OnePlus Nord N20 5G umevuja, muonekano mpya umebadilika sana na imekuwa katika muundo wa flat-edges kama iPhone 12 na iPhone 13.

Simu hii ya Mid-range (simu ya daraja la Kati/Wastani) itakuwa na muonekano mpya katika sehemu ya kamera, itakuwa na kamera tatu (na sio nne kama ilivyo katika OnePlus Nord N10) na lens za kamera zimejitenga. Kamera mbili zitakuwa na duara kubwa na pembeni itakwepo kamera moja na Flash.

Specs zilizovuja itakuwa na Snapdragon 695 5G, kioo cha AMOLED inch 6.3 na Finderprint itawekwa ndani ya kioo.

Bei yake inaweza isizidi Laki 7 kwa sababu ni Mid-range.
Nakuhakikishia hii simu mpaka inafika mkononi mwako haipungui 1.2M.

Ili simu uinunue 700k, inabidi sokoni iwe arround $200 na not above $300.
 
Ukiachana na michakato ya hapo kati kiuhalisia simu hua na bei ya kawaida.
Kwa mfano simu hiyo itauzwa na kampuni husika kwa gharama ya Tsh.700,000 lakini Kulingana na process mpaka simu kuingia dukani ndipo bei hupanda sababu hapo kati kina Wholesale, agent, broker, retailers mpaka kumpata Consumer hao wote kati watapenda kupata faida ndio maana bei hupanda.

Hivyo simu kama hiyo hadi kukufikia wewe unaweza uziwa hata 1.3M
Ukiweka na ile hype ya kumiliki oneplus ataongezewa 150k.
 
Nakuhakikishia hii simu mpaka inafika mkononi mwako haipungui 1.2M.

Ili simu uinunue 700k, inabidi sokoni iwe arround $200 na not above $300.

sure,ndio sababu huwa hatuoni sababu ya mtu kununua midrange bongo.
maana kwa bei hiyo kuna masimu kibao flagship ya miaka 3-2 nyuma ni makali 140% kuliko hiyo mpya.

1.2ml unapata iphone 11,samsung ndio usiseme,1plus,pixel 5,nk.
 
Back
Top Bottom