Mhusika mkuu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 432
- 510
Makonda sasa ni muda wa yeye "kusimama ahesabiwe"Dogo alikata watu masikio,alikata viganja,yule bibi alimwita Mungu wake amwone na amfungulie kisa huyu dogo.
Mungu huwa yupo.
Paul Makonda, Paul Makonda, Paul Makonda nimekuita mara 3!
!
Du kweli hili ni SAA-BAYANdio kama mnavyoona
View attachment 1978606
View attachment 1978607
Chanzo : Mwananchi
Nakala kwa Gerald .M Magembe
Dah!!,anatia huruma sana, MUNGU amsaidie atoke tu.Nimeshaanza kumhurumia.
Ndio kama mnavyoona
View attachment 1978606
View attachment 1978607
Chanzo : Mwananchi
Nakala kwa Gerald .M Magembe
Kazaliwa 80 kamili huyo, hiyo inayotajwa ni ya kwenye vitambulishoHivi huyu mshkaji ana mtoto? Maana kwa kweli nyundo 30 lupango siyo ishu ndogo. Maana yake ni kwamba kutoka atakuwa na zake kama 54 hivi?
Kazaliwa 80 kamili huyo, hiyo inayotajwa ni ya kwenye vitambulisho
Ana mchumbaAna watoto? Maana naona kama anazikwa mazima ila pia ni faida kuua mbegu mbaya isiendelee kuzaliana.
Ana mchumba
Tunasubiri muonekano mpya wa Dj utqkavyokuwa maana Leo PGO imesimama kidete😁😁😁😁Ndio kama mnavyoona
View attachment 1978606
View attachment 1978607
Chanzo : Mwananchi
Nakala kwa Gerald .M Magembe