Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,368
Mbona nywele wamemnyonyoa haraka hivyo! Naona kinyozi wa gerezani alikuwa na usongo nae.Ndio kama mnavyoona
View attachment 1978606
View attachment 1978607
Chanzo : Mwananchi
Nakala kwa Gerald .M Magembe
cheo ni dhamana tuzingatie sheriaSura Imekuwa kama sokwe aliyetoka kuzaa
hapa tayari umeshapanic.Anaubeba msalaba wake kama mwanaume. Sio kama flani kawekwa net kila siku zinahesabiwa leo kigoda katimiza siku 61 ndichi mara wazungu wamemwambia kigoda jikaze
Ni kwa sababu unahisi Mbowe nae atafungwa?Na uendelee hivyohivyo kutupostia kila mfungwa.......
Jela haina Mwenyewe....
...Mbona hana Sare za Gerezani?Ndio kama mnavyoona
View attachment 1978606
View attachment 1978607
Chanzo : Mwananchi
Nakala kwa Gerald .M Magembe
Wewe nae...Hakuna ajuaye kitakachomtokea, tusimlaumu
Hapana..tunatumia kauli mbiu ya usiogope..anapita njia ya hh na mandelahapa tayari umeshapanic.