Zanzibar, sitaki nataka.
Zanzibar ni kama mke anaekwambia hakutaki lakini anaogopa kwenda kujitegemea, ukimtishia talaka analia.
Mtanganyika mwenye balls kama Tundu Lissu akisimama kueleza maudhi ya Muungano kwa upande wa Bara na kusema kama haiwezekani basi tutengane Mzanzibar anaogopa, analia, anabembeleza kubaki.
Zanzibar ni kama mke anaekwambia hakutaki lakini anaogopa kwenda kujitegemea, ukimtishia talaka analia.
Mtanganyika mwenye balls kama Tundu Lissu akisimama kueleza maudhi ya Muungano kwa upande wa Bara na kusema kama haiwezekani basi tutengane Mzanzibar anaogopa, analia, anabembeleza kubaki.