Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,127
- 19,698
Yuko safi Sana
Hii ndo raha ya kuwa na mtoto bana
Hii ndo raha ya kuwa na mtoto bana
Ilikuwaje?Afuate utaratibu wa kawaida yasijejirudia ya Bethuel Mbugua wa Kenya. Anajuta.
Dogo alikuwa anajua Biology tu kwa kusoma biology akiwa mdogo. Akarushwa rushwa madarasa. Akaenda USA. system zikamtema huko maana vitu vingine hajui. Kwa taabu akamaliza College. Kazi ikawa ngumu kupata . karudi kwao Kenya akapata kazi ya kujikimuIlikuwaje?
Mitaala ya kuongeza somo la historia ya Tanzania😢 tutafika ingawa kwa tabuKipaji kinaenda kuuwawa na mitaala ya shule. Ulizia vipaji wanaishia wapi?
Aende secondary kwa kujua kijumlisha na kutoa tu?
SERIKALI FUNGUENI SHULE MAALUMU ZA VIPAJI KAMA HIVI! ANGALAU MOJA YA VIPAJI VYA LUGHA, SAYANSI NA SIASA, SANAA!