Munishi na Wenje kuunguruma London Uingereza leo

Mdutch

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
214
77
Wakuu habari nilizozipata ni kwamba mkurugenzi wa mambo ya nje wa CHADEMA Ezekia Wenje (MB) na Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi wamewasili Londoni na leo watakutana na wanachadema pamoja na watanzania wengine kutoka miji ya Reeding, Birmingham na Londoni kwenyewe kwenye ukumbi wa

Seebos'
761 -763 High Road,
Leytonestone,
E114QS
London
UK

Huu ni muendelezo wa CHADEMA wa kujiimarisha ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
 
Wakuu habari nilizozipata ni kwamba mkurugenzi wa mambo ya nje wa CHADEMA Ezekia Wenje (MB) na Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi wamewasili Londoni na leo watakutana na wanachadema pamoja na watanzania wengine kutoka miji ya Reeding, Birmingham na Londoni kwenyewe kwenye ukumbi wa

Seebos'
761 -763 High Road,
Leytonestone,
E114QS
London
UK

Huu ni muendelezo wa CHADEMA wa kujiimarisha ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
mkuu hata uingereza nao huwa wanakuja kujiimarisha hapa kwetu? inasikitisha kuona ufahari kwenda kujikomba kwa wabeba maboksi huko uLAYA.
 
mkuu hata uingereza nao huwa wanakuja kujiimarisha hapa kwetu? inasikitisha kuona ufahari kwenda kujikomba kwa wabeba maboksi huko uLAYA.

Hata mimi hii dhana huwa inanitatiza sana, labda ni kwa sababu ya uelewa wangu mdogo! Kujiimarisha nje ya nchi??
 
mkuu hata uingereza nao huwa wanakuja kujiimarisha hapa kwetu? inasikitisha kuona ufahari kwenda kujikomba kwa wabeba maboksi huko uLAYA.

Kazi ya chama chochte ni kuhamasisha na kuweka mtandao wake imara kwa ajili ya shughuli zake zinazopelekea lengo kuu la chama cha siasa kutimia nalo ni kushika dola. Chama cha siasa cha watu wote hakina mipaka wala ubaguzi wa masikini na matajiri, wachimba chumvi na wabeba maboksi, wa Ulaya, Amerika Afrika wala Asia ila mradi ni watanzania. Kama CHADEMA wanaweza kujikomba kwa wabeba maboksi basi ni chama cha ukweli cha watu wote. Sema kingine!
 
Mimi ni CDM lakini hiki kitabia cha viongozi kwenda kwenye nchi za nje kusafisha macho sio kizuri hata kidogo! Ruzuku ya chama itumike kwa mambo ya msingi i.e tujenge chama kwa wapiga kura wa ndani kwanza.CDM lazima ionyeshe utofauti na CCM.naongea haya kwa nia njema kabisa.
Wale mameya wa moshi walitaka kwenda kigali, rwanda kujifunza usafi!! haina tofauti na mwamaume aliyeoa aende kujifunza mapenzi Paris,ufaransa.
 
Twanga kote kote! well done ma kamanda, hiyo ndio kuijua diplomasia
 
  • Thanks
Reactions: awp
Mimi ni CDM lakini hiki kitabia cha viongozi kwenda kwenye nchi za nje kusafisha macho sio kizuri hata kidogo! Ruzuku ya chama itumike kwa mambo ya msingi i.e tujenge chama kwa wapiga kura wa ndani kwanza.CDM lazima ionyeshe utofauti na CCM.naongea haya kwa nia njema kabisa.
Wale mameya wa moshi walitaka kwenda kigali, rwanda kujifunza usafi!! haina tofauti na mwamaume aliyeoa aende kujifunza mapenzi Paris,ufaransa.

Hapo nilipobold na italic ninamashaka napo.

Nafikiri ni mwana CDM mchina uliye kwenye pay roll ya Nape. Una kingine?
 
mkuu hata uingereza nao huwa wanakuja kujiimarisha hapa kwetu? inasikitisha kuona ufahari kwenda kujikomba kwa wabeba maboksi huko uLAYA.

Kwenu kuna nini ambacho hamjui?Kwenu kuna nini kama hadi sasa pamoja na kusikia yote bado hujawa potential member?Hakuna chama kinachotaka chukua dola halafu kikalaza damu kuwa recruitment ya kutosha nje?Wengine wanakwenda kijeshi ila wengine ni kuongeza wanchama, kuwavutia kuwa na uazalendo na kuwafanya waweke malengo ya kurudi jenga nchi.Na mara nyingine kuchangia chama.Hawa wana uhuru wa kuchangia bila kutishiwa na serikali tawala.Ukitegemea michangoa ya ndani tuu.chama tawala kinaweza piga mikwara mikali siku za lala salama na wananchi wote wakabanwa mbavu kiasi cha kushindwa au kuhofia kuchangisha.

Vyama vyote vinajipanga kuchukua nchi huanzia nje, kuanzia ANC, ukienda UTuruki, Ukienda Iran,Libya, Mozambique, Uganda,Tunisia,syria etc.

Sioni sababu ya kwanini una maswali mepesi hivi.
 
Diplomasia ni ndani na nje ya mipaka,hakuna tatizo viongozi kwenda nje kwa kazi za kichama.
 
Hata mimi hii dhana huwa inanitatiza sana, labda ni kwa sababu ya uelewa wangu mdogo! Kujiimarisha nje ya nchi??

Rudi darasani kasome historia tena. kama hukupata bahati ya kusoma pole sana hayo ni matunda ya chama chako masaburi.

Kasome kale katopiki cha Pan Africanism na Independence Struggles in Afrika kidato cha tatu au History paper one A level.

Utakutana na kitu kinaitwa Manchester Conference wa mwaka 1945 na mingine mingi inayofanana na hiyo.

Wapigania uhuru wa nchi nyingi za Afrika walikutana na wenzao waliokuwa huko ughaibuni kujipanga kupambana na mkoloni.

Leo CDM wanatafauta uhuru wa mara ya pili wa Mtanzania na wanapambana na mkoloni mweusi masaburi chama chako.

Wanaitaji kuunganisha nguvu za walio ndani ya Tanzania na walio nje.

Kwa hiyo masela wanafanya kile walichofanya babu zetu enzi hizo kama ilivyokuwa kule kwenye Manchester Confrerence.

Haya, nenda kasome hizo topic haraka na sio kubwabwaja hapa!
 
Samuel Sitta na aseme sasa!
Ya kuwa CDM ni Dr Slaa peke yake. Uchaguzi wa madiwani unaendelea Tanzania Nzima. WanaCDM wakiongozwa na kamanda Mbowe na Dr Slaa wametapakaa kila kona. Sumbawanga tunasubiri kuwasha moto na BAVICHA wanaonekana kupaweka sawa. Kwenye diplomasia na kimataifa Munishi na Wenje wanachapa mwendo.

Wenje na Munishi unganisheni wenzetu hao walioko ughaibuni, mfagizi, muosha vikombe kwenye migahawa, mbeba maboksi na hata taikuni ila mradi ni mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi yake.

Viva CDM, Viva Makamanda.
 
Hapo nilipobold na italic ninamashaka napo.

Nafikiri ni mwana CDM mchina uliye kwenye pay roll ya Nape. Una kingine?

wewe mbumbumbu,soma vizuri comment yangu,usishabikie uvundo! Nimetoa ushauri mzuri kwa nia njema ya kujenga chama! acha kuwa na fikra mgando.
 
wewe mbumbumbu,soma vizuri comment yangu,usishabikie uvundo! Nimetoa ushauri mzuri kwa nia njema ya kujenga chama! acha kuwa na fikra mgando.

Mbumbumbu hudhani wenzake ni mbumbumbu. Ushauri wa mbumbumbu hauwezi kutokuwa wa kimbumbumbu. Pitia upya ushauri wako uone jinsi ulivyo mbumbumbu.
 
Mbumbumbu hudhani wenzake ni mbumbumbu. Ushauri wa mbumbumbu hauwezi kutokuwa wa kimbumbumbu. Pitia upya ushauri wako uone jinsi ulivyo mbumbumbu.

wewe ni MBURULA brain yako 0.005KB,napoteza muda tuu kubishana na kilaza kama wewe!
 
Kazi ya chama chochte ni kuhamasisha na kuweka mtandao wake imara kwa ajili ya shughuli zake zinazopelekea lengo kuu la chama cha siasa kutimia nalo ni kushika dola. Chama cha siasa cha watu wote hakina mipaka wala ubaguzi wa masikini na matajiri, wachimba chumvi na wabeba maboksi, wa Ulaya, Amerika Afrika wala Asia ila mradi ni watanzania. Kama CHADEMA wanaweza kujikomba kwa wabeba maboksi basi ni chama cha ukweli cha watu wote. Sema kingine!

mbona obama wakati wa kampeni hakuja bongo kuongea na wamarekani walioko bongo au hakwenda UK kuongea na wamarekani walioko UK? hao wanatumia tu ruzuku za chama kula allowance yao basi hao wabeba boksi UK hawana makaratasi kwa hiyo hata wakati wa uchaguzi hawawezi kuja bongo kupiga kura maana wakija huku hawataweza kurudi tena UK so bado sielewi
 
mbona obama wakati wa kampeni hakuja bongo kuongea na wamarekani walioko bongo au hakwenda UK kuongea na wamarekani walioko UK? hao wanatumia tu ruzuku za chama kula allowance yao basi hao wabeba boksi UK hawana makaratasi kwa hiyo hata wakati wa uchaguzi hawawezi kuja bongo kupiga kura maana wakija huku hawataweza kurudi tena UK so bado sielewi

Kwenye red hapo! Mie napita tu, nkipata nauli ntarudi.
 
Huyu Wenje si ndio aliyekula pesa ya madawati mwanza baada kufanya harambee na kupata zaidi 70ml?
 
Rudi darasani kasome historia tena. kama hukupata bahati ya kusoma pole sana hayo ni matunda ya chama chako masaburi.

Kasome kale katopiki cha Pan Africanism na Independence Struggles in Afrika kidato cha tatu au History paper one A level.

Utakutana na kitu kinaitwa Manchester Conference wa mwaka 1945 na mingine mingi inayofanana na hiyo.

Wapigania uhuru wa nchi nyingi za Afrika walikutana na wenzao waliokuwa huko ughaibuni kujipanga kupambana na mkoloni.

Leo CDM wanatafauta uhuru wa mara ya pili wa Mtanzania na wanapambana na mkoloni mweusi masaburi chama chako.

Wanaitaji kuunganisha nguvu za walio ndani ya Tanzania na walio nje.

Kwa hiyo masela wanafanya kile walichofanya babu zetu enzi hizo kama ilivyokuwa kule kwenye Manchester Confrerence.

Haya, nenda kasome hizo topic haraka na sio kubwabwaja hapa!

Muonee huruma mwenzako. Mbona unamuambia kwa ukali kiasi hicho? Hujui magamba waliamua kumnyima shule ili awe hivyo alivyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom