Munishi aishiwa uvumilivu, Atoa ushauri kwa Rais.

Vile huku wengi ni wajukuu na hamkujua kuwa munishi na shehe yahya walitimuliwa na mwalimu wakaenda kuishi kikimbizi nchi ya jirani.
 
Magufuli alivyokua anaongea mambo ya nchi kanisani waislam hawakusema nchi inaendeshwa kikanisa
Wakristo Mara nyingi mnakua na zengwe sana mkiona muislam yuko madarakan.
Kama kuvaa tu mavazi ya kujistiri imekua nongwa mnasema anavaa kiislam je na yeye akianza kuhutubia Taifa kupitia msikitini si ndo vita ya din itaanzia hapo.
Kama din yenu haina maadili ya kujistiri na kuvaa kimini kwenu ni sawa huo ni uhuru wenu muachen na yeye ajistiri huo ni uhuru wake.

Achen ubinafsi.
 
Hivi huyu kiongozi inaweza kutokea siku moja akahiyari kupita mitaani ili kuwatia moyo wenye shida!? Na iwapo itatokea akakutana na mama muuza vitumbua ataweza kumkumbatia ili kumfariji!?
 
Hivi huyu kiongozi inaweza kutokea siku moja akahiyari kupita mitaani ili kuwatia moyo wenye shida!? Na iwapo itatokea akakutana na mama muuza vitumbua ataweza kumkumbatia ili kumfariji!?
 
Kimsingi wanawake wote wanatakiwa wajistiri kama huyu Chief Hangaya anavyofanya ndio mafundisho ya Biblia yanavyotaka.

Hata wale Watawa Masista huwezi kuona wameacha nywele zao wazi ni lazima wavae vilemba kujistiri.

Mimi ni Mkristo sikubaliani na Munishi katika hili, huenda huyu jamaa huwa anachoma bangi kidogo.

Ndio maana hata hii Taliban mpya mpaka sasa naona wako sawa hakuna wanaponyanyasa wanawake bali utaratibu ufuatwe na hakuna mambo ya 50 kwa 50 huo siyo mpango wa Mungu ni sera za kijinga kabisa.
Hamia Afghanistan kwa Taliban
 
1632295012606.jpeg

Munishi anataka Mama awe kama hivi.Kuna jambo anataka kuliona Munishi kama Munishi.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom