DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,210
- 4,512
Nonsense! Garbage and illogical argument.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachohitajika ni vazi la heshima tuu
Huyu mkuda bado anaishi?
View attachment 1947748Hana akili kabisa huyu
Munishi ni nani?
Hamia Afghanistan kwa TalibanKimsingi wanawake wote wanatakiwa wajistiri kama huyu Chief Hangaya anavyofanya ndio mafundisho ya Biblia yanavyotaka.
Hata wale Watawa Masista huwezi kuona wameacha nywele zao wazi ni lazima wavae vilemba kujistiri.
Mimi ni Mkristo sikubaliani na Munishi katika hili, huenda huyu jamaa huwa anachoma bangi kidogo.
Ndio maana hata hii Taliban mpya mpaka sasa naona wako sawa hakuna wanaponyanyasa wanawake bali utaratibu ufuatwe na hakuna mambo ya 50 kwa 50 huo siyo mpango wa Mungu ni sera za kijinga kabisa.
eti anasema ni muuza vitumbua 🤣 🤣Mwache rais wetu wewe tutakupiga albadra
utasema mtu wa mwituni yani.Mimi kwenye kuvaa sina sina napo,shida yangu ni kichwani naona anawaza kienyeji sana
Huyo hamumuwezi alishakuwaga jambazi sugu.....Mwache rais wetu wewe tutakupiga albadra
ndio miaka mingine 10 inapotea hivyo,badae tutajiulizaje nchi imefikishaje 70yrs ikiwa hohehaheutasema mtu wa mwituni yani.
Kama alikubali kuingia kwenye siasa kwa ridhaa yake ni vyema mambo ya ushungi aweke pembeni