msovero
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 839
- 1,472
Nani huyoKuna mtu alisomewa mpaka leo anadunda!
Nani huyoKuna mtu alisomewa mpaka leo anadunda!
Hatq wakqti wq Magufuri alisumbuq sqna na qlifurahia sana Magufuri kufarikiMunishi anasumbuliwa na chuki binafsi dhidi ya dini ya kiislamu. Nakumbuka hata enzi za msoga alimsumbua sana baada ya kuja jiwe(mkiristo) akapotea. Ameingia Samia(muislamu) ameibuka upya. Dawa ya huyu pimbi ni albadil tu maana akichekewa atasumbua sana kama alivyomsumbua mzee jakaya na baadae kukimbilia kenya
Yani binadamu ni kiumbe wa ajabu kweli.Akivaa kimini tena ndo itakua balaa,watasema kwanini hawi mfano kwa wanawake wengine anakua mhuni,😂😂😂😂
Nashangaa! hoja ya kipuuzi sana hiyo kwa hapa amefeliKwani Mama mpika vitumbua siyo Mama!!! Kupika vitumbua ni dhambi, ni kosa, au ni laana?
Nimegundua huyo siyo mtumishi wa Mungu ni mchumia tumbo, Bwana Yesu hakuwaweka watu kwenye madaraja, sijui huyu mtumishi wa namna ganiNashangaa! hoja ya kipuuzi sana hiyo kwa hapa amefeli