Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mungu ni Mkuu na taifa ambalo linamtanguliza Mungu lazima lifanikiwe.
Hili halina ubishi maana Mungu ndio kila kitu. Kwanza kwa kutuvusha kwenye hili janga kubwa na baya ambalo halijawahi kutokea ni ishara kubwa kuwa Mungu yupo nasi Watanzania.
Chadema na ACT Wazalendo mmeaibika sana. Sababu mlitumiwa na mabeberu kutaka nchi yetu iangamie ili nyie mfurahie.
Tuliwaona viongozi wenu wakiongea mbele ya luninga ya Aljazeera kuwa maelfu ya watu wanakufa na kwamba Serikali inapotosha.
Lakini Mungu amewaumbua. Sasa nchi yetu tumepata kiongozi ambae anajali wananchi. Anajenga shule, vituo vya afya na hospitali na kujenga miundo mbinu, huku watoto wakienda shule bure kwa elimu ya msingi na sekondari. Act Wazalendo na CHADEMA mnajipendekeza kwa mabeberu na kudai eti nchi yetu haina demokrasia. Lakini mmefeli na Mungu amewaumbua.
Na kwa mantiki hii October watanzania wanaangalia vyama vya wazalendo tu. CCM, NCCR Mageuzi, UDP, CHAUMA n.k
Nyie hamieni Ulaya na USA kwa mabeberu ili mkafaidike.
Hili halina ubishi maana Mungu ndio kila kitu. Kwanza kwa kutuvusha kwenye hili janga kubwa na baya ambalo halijawahi kutokea ni ishara kubwa kuwa Mungu yupo nasi Watanzania.
Chadema na ACT Wazalendo mmeaibika sana. Sababu mlitumiwa na mabeberu kutaka nchi yetu iangamie ili nyie mfurahie.
Tuliwaona viongozi wenu wakiongea mbele ya luninga ya Aljazeera kuwa maelfu ya watu wanakufa na kwamba Serikali inapotosha.
Lakini Mungu amewaumbua. Sasa nchi yetu tumepata kiongozi ambae anajali wananchi. Anajenga shule, vituo vya afya na hospitali na kujenga miundo mbinu, huku watoto wakienda shule bure kwa elimu ya msingi na sekondari. Act Wazalendo na CHADEMA mnajipendekeza kwa mabeberu na kudai eti nchi yetu haina demokrasia. Lakini mmefeli na Mungu amewaumbua.
Na kwa mantiki hii October watanzania wanaangalia vyama vya wazalendo tu. CCM, NCCR Mageuzi, UDP, CHAUMA n.k
Nyie hamieni Ulaya na USA kwa mabeberu ili mkafaidike.