Tunahitaji kufunga mikanda zaidi ili kupiga hatua za maendeleo
- Mawaziri na manaibu waziri - 55
- Wakuu wa mikoa - 25
- Wakuu wa wilaya - 133
- Marais wastaafu - 2
- Mawaziri Wakuu wastaafu - 6
Mpaka hapo Raisi eti hajui ni kwanini Watanzania ni Maskini!:A S cry:
Na alisema mtu kama anaishi kwenye nyumba ya nyasi eti amejitakia mwenyewe!Atajuaje?zaidi kila anapoulizwa kuwa kwanini wananchi wako ni maskini yemwenyewe anasema kuwa anashangaa kwanini wananchi ni maskini
mkuu kuna hawa piaTunahitaji kufunga mikanda zaidi ili kupiga hatua za maendeleo
- Mawaziri na manaibu waziri - 55
- Wakuu wa mikoa - 25
- Wakuu wa wilaya - 133
- Marais wastaafu - 2
- Mawaziri Wakuu wastaafu - 6
Tunahitaji kufunga mikanda zaidi ili kupiga hatua za maendeleo
- Mawaziri na manaibu waziri - 55
- Wakuu wa mikoa - 25
- Wakuu wa wilaya - 133
- Marais wastaafu - 2
- Mawaziri Wakuu wastaafu - 6
Tunahitaji kufunga mikanda zaidi ili kupiga hatua za maendeleo
- Mawaziri na manaibu waziri - 55
- Wakuu wa mikoa - 25
- Wakuu wa wilaya - 133
- Marais wastaafu - 2
- Mawaziri Wakuu wastaafu - 6
Tunahitaji kufunga mikanda zaidi ili kupiga hatua za maendeleo
- Mawaziri na manaibu waziri - 55
- Wakuu wa mikoa - 25
- Wakuu wa wilaya - 133
- Marais wastaafu - 2
- Mawaziri Wakuu wastaafu - 6
mkuu kuna hawa pia
6. makatibu wakuu wa wizara
7. wakurugenzi wa wilaya
8. wakuu wa mashirika ya uma
9. wanabodi mbalimbali
10. wabunge wa JK
11. wakuu wa majeshi
12. majaji
raisi anateua nusu ya wafanyakazi wa ngazi za juu serikalini huu ni upuuuzi